Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool are bigger admirers of Sporting manager Ruben Amorim than is being widely reported, with Michael Edwards, Richard Hughes, and other members of FSGโ€™s hierarchy holding the 39-year-old in high regard.

[emoji3578] @GiveMeSport
Baada ya Alonso kututosa
 
Kazi inaze mapema wana kibarua cha kwanza kupata meneja wa kumridhi Klopp, eneo lingine ni beki anahitajika mmoja kwan Matip sioni akabakia, eneo lingine ni kiungo mzuiaji mmoja anahitajika ili kua na kikosi kipana cha kwenda jino kwa jino na timu bora ligi kuu na klabu bingwa.

Kingine na hili la Salah bado bei yake ipo juu huko Waarabuni waamue mapema hii kama anapewa mkataba mpya ama anauzwa na ela afanye yale ya Countinho.. VVD nae mkataba haupo mbali sana na pia Trent.

Upande wa kushoto beki nako naona wapatazame maana Tsimikas ubora wake umechuja sana tofauti na zamani ndio maana hata akiwa mzima Klopp bado anamchagua Gomez

Kikosi kitakua Amorim kocha

Allison
TAA.. Beki mpya.. VVD.. Robo

Domy.. Kiungo mpya.. Macca

Salah.. Nunez.. Diaz

Endo ni safii ila umri haurudi nyuma anahitaji apewe msaada ili kuzuia majeraha ya muda mrefu na Bajetic ndio yule hatuelewi lile jeraha kama halitamsumbua kwa kipindi gani.

YNWA
 
Naziogopa sana siku hizo

Sitamani hata zifike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ