Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mmmh!
Huwa una kelele kwliπ€ π€ ...kumbe ni muangalia marudio ya mechi...kwny marudio Liverpool watashindaHuyu Quansah ndio kampasia mpira Bruno?
Kelleher katikati ya uwanja alienda kufanya Nini?
Sitaki presha za rejarejaHuwa una kelele kwli[emoji1783][emoji1783]...kumbe ni muangalia marudio ya mechi...kwny marudio Liverpool watashinda
Chelsea wakiona mchezaji ana marasta wanapita nae chap. Nyie mkiona kocha ana madevu mnamkimbilia mbio...
Arteta hamkumuona?
Sasa Arteta si ana kazi pale Arsenal au kajiweka sokoni ?Arteta hamkumuona?
Sawa hawataki na angekataa lakini hata kumuaprochi...?
Si mnafuata tu awakatae halafu sisi tuje huku kuwaambia kocha wetu hawataki. Kwamba Arteta anataka kucoach timu kubwa kubwa tu kama ArsenalSasa Arteta si ana kazi pale Arsenal au kajiweka sokoni ?
View attachment 2958289
π΄π¨π½πππΌππππ:
β’ Liverpool offers RΓΊben Amorim a contract for the next three seasons. Financial terms are almost agreed. Negotiations remain positive for Amorim to become Liverpool's next coach. π΅πΉβ°
Via: [Pedro Sepulveda]
#stz
Kelleher juzi alikuwa bonge la pazia
Cheki kobe mauno anamtungulia mbali kote kule![emoji706]
Nampenda sana Kelleher ila juzi amezinguaMbona mapema? Si ulikuwa unamuimbia mapambio wewe hatimae unakubali kama ukipa si kudaka mipira ya rede.
Yale magoli makipa wa kuzuia duniani wako wanne tu. De Gea, Lloris, Ramsdale na Raya. Utagundua wawili kati yao wako Arsenal.Nampenda sana Kelleher ila juzi amezingua
Goli la kwanza ameiga ujinga wa Allison kutoka sana Golini.
Goli la kwanza lawama kwake, na kwa yule aliyempasia Bruno Mpira,,sijui ni Quansah yule Dah!
Goli la 2 upumbavu wa Kelleher kutokukadiria ule mpira.
unachoumia kitu Gani Stev Gerrad kawah mpasia pasi Drogba makusdi kabisa 2009/10 ili United akose ubigwa iyo laana hawezi kufutika na yey akaja kuteleza Demba ba akafunga tena kipind anahitj ubigwa juzi naye dogo kajichanganya katoa bokoNampenda sana Kelleher ila juzi amezingua
Goli la kwanza ameiga ujinga wa Allison kutoka sana Golini.
Goli la kwanza lawama kwake, na kwa yule aliyempasia Bruno Mpira,,sijui ni Quansah yule Dah!
Goli la 2 upumbavu wa Kelleher kutokukadiria ule mpira.
Yale yale, three years za kusubiri ajenge timu ili achukue ligi moja kwa miaka 8 atayokaa kama KloppSikososi usajili wa huyu Kocha iwapo Uongozi utaamua kumchukua kwasababu siwezi kujua future events kama atafanikiwa au hatafanikiwa lakini to be honest mpaka sasa sijajua kwanini amekuwa Highly rated huyu Kocha.
Hakuna kipimo chochote cha mafanikio alichonacho kwasabau hajawahi kuwa Kocha wa mafanikio kwenye Ligi yoyote kati ya 5 big Leagues (EPL, Serie A, La Liga, Bundesliga and Leagu 1).
Bado nina kumbukumbu nzuri sana za Adre Villas Boas alipofanikiwa kule Ureno akiwa na Matakwimu ya kutisha kama Amorim Chelsea wakaingia kichwakichwa wakamchukua akaishia kutaka kuwashusha daraja.
But iwapo atachukuliwa nitaweka matumaini juu yake na naamini anaweza kufanikiwa iwapo tutampa muda kama tulivyompa Klopp wa kujenga Timu (3 Years) na akawa financially supported kutoka kwa Litajiri letu.