Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kwa kweli Mimi sijaona timu ambayo imefanikiwa kufanya Liverpool icheze very uncomfortable msimu huu kama Atalanta......yaani wametuvuruga u hezajinwetu Hadi basi

hii aina yao ya ukabaji need to be studied aisee.....yaan Leo kidogo tumejitahid kuunlock lakini napo ni mpak Salah abadilishane namba na gakpo mara gakpo acheze kule kwa Diaz yaan ni kero tupu
 
Zile goli 3 Anfield tulifungwa kizembe sana,zimetucost
 
Ni bora alivyo tangaza kuondoka tu, Hana jipya tena Klopp kila mechi yeye ni ONE TACTICS, ONE TACTICS habadiliki na hatakuja kubadilika huyo.
 
Very useless coach, Hajawahi kuwa na plan B hata siku moja, Ni back pass tu kwa GK
 
Kwahy Liverkomwe mnasafiri kabisa kwenda kuyaaga mashindano πŸ˜‚ c bora msingepeleka timu uwanjani
 
hii mechi hata tucheze Hadi keshokutwa hatuwezi kufunga.
Tungefunga je sasa, na wakati Allison had more of the ball kuliko washambuliaji halafu utegemee ufunge goli.

Tatizo ni KLOPP, Klopp akikutana na kocha anayecheza Deep/Low block huwa hawezi ku-coach defensive pattern za hizo team.

Leaving at a good time, Hope he takes Salah, Gapko ,Nunez ,Diaz ,Gravenberch, VVD with him.
 
Kwa jinsi mulivyokuwa on fire kila game bao nne bao Tano, eti leo munamaliza ligi na tukarabao tu daah hii ni fedheha mnoo..😭😭😭😭
 
Ila Kuna baadhi ya watu ni mashabiki wa ajabu sana.
Timu gani nyingine ina kombe msimu huu katika hizo mnazoziona zina kocha vichwa?

Hii Liverpool ilivyokuwa msimu jana, nani angewaza kama tunaweza kufikia hatua hizi tukiwa na wachezaji wapya kikosini?
Au nyie wenzetu mwaka jana Liverpool ilivyokuwa inapuyanga nafasi za matopeni huko mlijifungia mazima na hamkuona lolote?
Mnaibuka tu na kuanza kutukana wakati wote hatukutarajia km hawa vijana mwanzo tu wangecheza vile kwa kiwango kikubwa na kucope na mazingira fasta.

Ama kama vipi tafuteni timu yenye mafanikio (ambapo hadi sasa msimu ulipofika liver pekee ndio ana kombe)
Shabikieni hizo kama mnaona liver ya kijinga.
 
Atalanta sidhani kama amecheza deep block naona kama walikuja na mbinu ya kukabia juu mashambulizi yanapoanzia ndo maana ulikuwa unaona Allison akiwa na mpira hakuwa na pa kuupeleka kwa sababu kulikuwa na watu watatu pale mbele Wanazuia asipate option ya kuanzisha mashambulizi ikawa inamlazimu apige mipira mirefu ambayo kwa bahati mbaya haikuwa na faida kwetu
 
bado hamjasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…