Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Salah waarabu wakileta hela ya maana tumuuze tu.
 
Nyie majogoo mnamsimanga sana Klop wakati wote mnajua ambavyo aliwatoa matopeni, miaka ile baada ya kuondoka Benitez mlipoteana kwelikweli.

Huyu Klop ndio amewarudisha mjini, lakini mnamsimanga sana. Ama kweli shabiki hana shukrani.

Ukitoa Arsenal, Liverpool ndio timu ambayo kidogo huwa naipenda huko Ulaya. Hii ni kwa sababu home kwetu wote ni Liver kuanzia mzee kasoro mimi.

Ila nawakumbusha Klop akiondoka nawaona mkirudi tena matopeni, sisi ndio tumerudi mjini hivyo.
 
Mtu anayemsimanga klopp hajitambui
 
Asanteni nyie kuku kwa kumpiga yule kuku mwenzenu. Naona mmeamua tena kurudi kujiunga nasi katika kupambana na Klopp. Sijui mtakuwa mmechelewa...lakini twendeni tu hivyo hivyo. Lolote laweza kutokea kwenye hii ligi.
Nimesema Klopp nikimaanisha Kipara...
 
Virgil Van Dijk on the latest contract news:

“There is nothing for me to discuss because there is no news, I think the club is very much busy with who is going to be the new manager and that is the main focus."

Virgil van Dijk:

"There will be a big transition and I am part of that"

“Like I said I am very happy here, I love the club and you can see that as well. It’s a big part of my life already, and that is all I can say.” 👊
 
Liverpool tumetia aibu sana kwa msimu huu,kushindwa kumfunga Nyumbu imekua ni fedheha kubwa sanaaa.
Nyumbu msimu huu ni Mbovu na ilitakiwa kushiriki Championship. Wamefungwa michezo 13 na Wana negative 3 GD. Na hiyo ndio miongoni mwa timu zilizotunyima Ubingwa msimu huu..Michezo yote miwili
 

Misimu ambayo tulikuwa runners nafikri draws zilikuwa nyingi utd akiwepo. Kuna msimu utd alikuwa mbovu kuliko huu, tena na injuries rundo first half wakaumia three players tukawekewa vitoto na tulishindwa kuwafunga pia.

Utd matches vs Liverpool ndivyo ilivyo.
 
Wadau nimesika adidas tutakua nao msimu wa mwaka 2025/26 hili dili ni la kweli au ni uongo naombeni kujua maana Nike wanatutolea mafamba tu
 
Ni bora kufungwa mechi 1 kuliko kutoa sare mechi 2...ki ukweli Klopp amekua na sare nyingi sana pale anapomfukuzia Kipara... Sare ndio hua zinamwangusha na sio vipigo.

YNWA
 
Jurgen Klopp:

“When you win one time with Liverpool, it is as worth as winning five times with another club.”
 
Jurgen Klopp:

“When you win one time with Liverpool, it is as worth as winning five times with another club.”
'High' ya kijiti kimoja cha bangi ya Liverpool itakuwa ni mara tano zaidi ya 'highs' za vijiti vitano vya bangi za miji mingine pale Uingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…