Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji599][emoji633] Liverpool manager Arne Slot: “There is no point talking about Zubimendi anymore because he stayed with Real Sociedad”.

“Also, we've moved on and we are really happy with Ryan Gravenberch”.
Guy settling well with the media...

YNWA
 
Mnaomsema Salah
Ni kwamba hamuoni assist ambazo huwa anatoa,na wenzie Kwa uzembe huwa wanapoteza mipira kizembe tu

Ni mara ngapi Salah anatoa pass halafu wanaenda kupaisha?
Mtulie hivyohivyo...
Hakuna mchezaji ambaye siyo mbinafsi.
Salah is Salah atakaemshangaa arejee mechi za tangu 2018 mpaka Mane anaodoka ajabu pamoja na hup ubinafsi anaongoza kwa ma assit pale mbele... Just like Messi or Ronaldo ndio ivyo kwa Salah ni RW mfungaji nadhani hua tunasahau hilo sana...
As long jana tumeshinda 3 cool points no ishu ya ubinafsi aidha kwa Salah au Diaz...

Next game Jumatano vs Westham Carabao...

YNWA
 
Hata huyo Mane
Mbona naye kuna mechi alikuwa anacheza unaona kabisa ubinafsi,kuna nafasi hampi Salah pass,anataka afunge yeye
Na anakosa.

Hao akina Diaz Jota ,Gakpp
Wote ukiwaangalia vizuri,ukaangalia mmojammoja mwanzo mwisho lazima uone Kuna mahali wanakuwa wabinafsi.

Pass alizotoa Salah Kwa akina Nunez
Nao Kwa ujinga wao wanapoteza,huzisikii wakasema humu .
Jamaa inafika Muda anachoka anaona ajaribu mwenyewe kufunga ...
Akipata wote tunajaa humu kusema Salah Mwamba..
Akikosa ndio hizo lawama

Mkae Kwa kutulia kabisa ...
Yeye siyo malaika apate magoli yote.
 
Hata huyo Mane
Mbona naye kuna mechi alikuwa anacheza unaona kabisa ubinafsi,kuna nafasi hampi Salah pass,anataka afunge yeye
Na anakosa.

Hao akina Diaz Jota ,Gakpp
Wote ukiwaangalia vizuri,ukaangalia mmojammoja mwanzo mwisho lazima uone Kuna mahali wanakuwa wabinafsi.

Pass alizotoa Salah Kwa akina Nunez
Nao Kwa ujinga wao wanapoteza,huzisikii wakasema humu .
Jamaa inafika Muda anachoka anaona ajaribu mwenyewe kufunga ...
Akipata wote tunajaa humu kusema Salah Mwamba..
Akikosa ndio hizo lawama

Mkae Kwa kutulia kabisa ...
Yeye siyo malaika apate magoli yote
 
🤔🤣🤣🤣Nimetulia sana mie... Simpodi Salah kwa jana..... Sina ishu na Salah wala Diaz wala Nunez kukosa jana... Ishu yangu jana ipo kwa babe wako 66 huyu bhana atakuja kutuchomesha aisee anapoteza mipira au pass mno aafu sio mara moja bhana yaani so many blind passes against a well organised team we will suffer bhana...

YNWA
 
Tumepiga bomu mochuari.

Kama Slot ni Mwamba kweli tunasubiri amfunge Aseno na City.
By the way kumfunga City hakukupi ubingwa kabisa... Ubingwa unaupata kwa kupunguza sare na kuwafunga hao wa kuanzia nafasi ya 3 nk nk... City tutoke hata sare lakin akina Newcastle, Brighton nk hao nikupiga tuu....

Slot idea zake zinaeleweka na jana ilikua jambo ni moja tu kupiga counter...

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…