Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naunga mkono hoja
 
Pole saana umeona zako
Samia anaanguka

City hataki kuachia ubingwa
 
Shkamoo mwalimu[emoji7][emoji3059].
Nimekuelewa

Haya,nifundishe na Double pivot
Sijui low block.

Marahaba Mwanafunzi.

Pivot:-

Kwa jina lingine ni central defensive midfielder, kazi yake ni kuunganisha idara ya ulinzi (defending department) na idara ya ushambuliaji (attacking department), na ku control tempo ya mchezo.

Double:
As name implies double ni mbili zinazofanana.

Kwenye football double pivot ni kuwaweka Central MF’s identically majukumu yao ni hayo hapo juu, kuunganisha Defenders na Attackers huku aki control tempo ya mchezo. Hapa LFC utawakuta ni Macca na Gravern, ukisikia Gravern asingeweza kushine kwenye shape ya 2-1, maana yake ilikuwa ni single pivot ambapo inabidi eneo lake kwa sehemu kubwa acheze mwenyewe kwa eneo kubwa la uwanja.
Na ukisikia Gravern ana shine kwenye shape ya 2-3/3-3/ ndio hiyo hapo kati anakuwa na pattern ambaye wanapunguza majukumu ya mmoja kufanywa na wawiwili.

Hii ndio double pivot. Kwamba two MF’s wanacheza eneo hilo. Simple tu kama hivyo.

Note:
Sio lazima viungo wawe defensive minded player, wanaweza kuwa defensive by role. Kuna tofauti mchezaji kuwa minded kwenye position na kuwa by role.

Low block next…

Ynwa’
 
Ryan rewarded 🏆

Standard Chartered Player of the Month award for his exceptional performances throughout September 👏🔴
Mtu na robo tatu in Saint Anne voice 🤣🤣🤣
View attachment 3114408
Soon Miss Liverpool ana mdiss dogo Trent na kuhamia kwa mtawala dimba G baby face🤣🤣🤣

YNWA
 
MosDef hii habari nimeiona Liverpool echo ni kweli ???

Steve McManaman reckons Liverpool are "well on the way" to wrapping up a new contract for Trent Alexander-Arnold. The 25-year-old defender faces an uncertain future at Anfield with - as things stand - his contract set to expire at the end of the season.
From January, clubs from abroad will be able to open pre-contract talks with Alexander-Arnold over a proposed free transfer next summer unless, of course, he signs an extension beforehand. If the England international does not commit his long-term future to the club, The Reds must consider whether they'd rather risk losing Alexander-Arnold for free, if talks prolong, or cut their losses and cash-in during the next transfer window. He has been linked with a switch to Real Madrid in the past, while his friendship with Jude Bellingham has only fuelled that speculation.
Ultimately, Liverpool have until the new year to make a decision otherwise the latter stages of the season, which could entail a title race, and a Champions League bid, could be clouded by speculation. Nevertheless, speaking on TNT Sports, McManaman assessed the situation at Anfield.

He revealed that Alexander-Arnold - as well as Virgil van Dijk and Mohamed Salah - have been subject to talks at the club. The Reds' hero said: "The circumstances for Trent and how it's come, this is well-known.
"The sporting director and Jurgen [Klopp] leaving, so it's got to this limbo, of sorts. What's helping is Virgil and Mo Salah are in the same predicament.
"There's been a problem within the club that it hasn't been sorted out sooner. Hopefully, it won't be hard for the three of them - particular Trent - to get it all sorted amicably.

"I know they've all been talking in the club. I've been talking to the players, so it's well on the way, the club won't say anything until it's signed, sealed and delivered."
 
Maisha bhana... Ni phases aisee... Its all about seasons... Good times n go... Liverpool Conquered 1980s big time under Paisley, Dalglish..... Akaja Fergi he conquered 90s na 2000s, then akaja Pep ana conquer sasa... So the question is after uflame wa Pep who is taking over Slot, Arteta nk nk time is now smart buy, compact style n game on....

YNWA
 
Uwii
Ishia kwanza hapahapa
Ushaanza kunichanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…