Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Soon.

Aamue tu yeye mwenyewe, kama kuna % ya kufunga just try it, boy he is so energetic and technical player. How i wish tungepata quality DM apige na Gravern then Macca aicheze hiyo 10,.

Ynwa’
Reason inamfanya acheze mbele ya Macca ni technical kwa sababu anakua 1st line of defence to tackle, to block the channels, yuko fasta kuliko Macca its simple as that...

YNWA
 

Hapo kwenye dada yangu”

Hivi mtoto wa alfu mbili awe dada wa mtu aliyetokea kabla ya alfu mbili, usijae kwenye mfumo wa Saint Anne”

Ynwa
 
Manchester ni wapuuzi wa kutupwa
Mimi sijui mpira ila Manchester ule siyo uchezaji wa mpira..
Yaani sijui walikuwa wanacheza mpira gani💔
Na bado acha wateseke wametuonea haswaaaa.....
So they knocked us off the perch haha ila sasa mateso kwao ni hatareee

YNWA
 
Na bado acha wateseke wametuonea haswaaaa.....
So they knocked us off the perch haha ila sasa mateso kwao ni hatareee

YNWA
Yaani ile mechi dhidi ya spurs Yaani ilikuwa kituko
Sijui walicheza vitu gani pale

Wamshukuru Mungu Sana Spurs siyo watulivu golini.
Wangemkuta mnyama kama Salah pale alikuwa anawachinja goli hata kumi pekeyake.
 
Hapo kwenye dada yangu”

Hivi mtoto wa alfu mbili awe dada wa mtu aliyetokea kabla ya alfu mbili, usijae kwenye mfumo wa Saint Anne”

Ynwa
Dunia ina mambo hii!
Leo hii watoto wetu wa kuwazaa wanaona tupo sawa nao!!
 
Faster than Macca, yes but Macca as 10 while you have beast behind him, slow but sure

Ynwa’
Macca nae ana ubora wake akicheza next to Gravenberch.... Kwanza ana long range cool passes lakini kubwa kuliko yote ni kusoma mchezo na kujua wapi asimame apokee pass ama kuzuia or to break play ya opponents tazama move zake uwanjani au heat map... Boy rarely analoa jasho aisee.
Kitu cha kupunguza kwake ni zile turn ons or take ons mara kadhaa he has been caught dozing na mpira

YNWA
 
Yaani ile mechi dhidi ya spurs Yaani ilikuwa kituko
Sijui walicheza vitu gani pale

Wamshukuru Mungu Sana Spurs siyo watulivu golini.
Wangemkuta mnyama kama Salah pale alikuwa anawachinja goli hata kumi pekeyake.

🤣🤣🤣🤣Manchester United ni kijiwe cha kupeana utajiri.... Yaani ile timu ina matatizo makubwa sanaaa aafu wenyewe wanataka quick fix... Haijawai kua rahisi hata siku moja we are living proof when things get rough ni rough haswaaa.

YNWA
 
Man u hata wakiletwa wacheze NBC pl na Namungo au ihefu
Ihefu wanashinda.

Juzi nilishangaa sana man u wanavyocheza aisee
Ni huzuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…