AmeeennHey legend....
We say no to Dutch curse aisee...
YNWA
Kwahiyo Bobby wangu umeungana na Mona kunikandamiza😁Napita tu mie🤣🤣🤣🤣
YNWA
Manchester United wapo ngap ngap?Kwahiyo Bobby wangu umeungana na Mona kunikandamiza[emoji16]
Mzee mwenzangu,
Umeamua uungane na huyo dogo Mona?
Ni katoto kadogo hako[emoji23] Bobby
Let’s pray for no Dutch curse
Kwahiyo umeona uungane na kaka mkubwa Bobby ili tukuone kwamba na wewe ni mkubwa[emoji23]
Dunia ina mambo hii!
Leo hii watoto wetu wa kuwazaa wanaona tupo sawa nao!!
Macca nae ana ubora wake akicheza next to Gravenberch.... Kwanza ana long range cool passes lakini kubwa kuliko yote ni kusoma mchezo na kujua wapi asimame apokee pass ama kuzuia or to break play ya opponents tazama move zake uwanjani au heat map... Boy rarely analoa jasho aisee.
Kitu cha kupunguza kwake ni zile turn ons or take ons mara kadhaa he has been caught dozing na mpira
YNWA
Napita tu mie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YNWA
Kwahiyo Bobby wangu umeungana na Mona kunikandamiza[emoji16]
Stat za Dominic Szobo EPL
View attachment 3114592
View attachment 3114594
View attachment 3114595
Sooon hizi chances ziwe magoli tu
This boy is a beast aisee... Nuff respect kwake
YNWA
Actually Macca tangu aje Liverpool anacheza out of position... Mtazame Argentina ndio utaelewa tu nakosa nini dogo kutocheza near opposition box...Thats Macca, akiwa mbele ya goli ni katili,. Hajapata chance ya kukaa pale mbele. Ni mzuri ku control team kwenye double pivotal, tofauti na ile Single ya Klopp.
Ynwa’
Kwahiyo unatafuta backup kwa Bobby😁Usimtishe, Usimtishe, Usimtishe
Umeona sasa unavyotafuta justification ya ukubwa kwa kutaka wakubwa wakutetee😁Mie mkubwa tu bila kuunganisha nguvu,. Nikiunganishi nguvu umeisha,.
Ynwa’
Sasa mtoto umri wa kina Gakpo kweli tuanze kushindana!?Wewe si umenigomea PM, hata picha tu umegoma tu kutuma, maana yake mie nimeshinda zamaaaaani hii vita.
Ynwa’
Asikuonee huyu mtoto mdogo wa alfu mbili na kitu kabisa sio flat,.
Ynwa’
Unamforce akusapoti uonekane mkubwaHapana hajaungana, ila anaongea uhalisia,.
HeeNdio lazima apewe na hela.
Nakumbuka Bobby kipindi kile kila akitoa assist alikuwa anapewa paundi 4500 kwenye bonasi