Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ingekuwa huyo mwenye miguu mibovu sasahivi tungekuwa tunaongea mengineLile goli alilofungwa jana ingekuwa Beka asingefungwa
Huyu Nicol akalee wajukuu tupo era ya Slot haina mbio ni moss moss tu mpaka kieleweke...
Ingekuwa huyo mwenye miguu mibovu sasahivi tungekuwa tunaongea mengineLile goli alilofungwa jana ingekuwa Beka asingefungwa
Hapo kwa palmer nimekuelewa sana. Ukitazama mechi za chelsea vs briton na wolves kuhusu huyu palmer ulichokisema kina make sense.
Caoimhín Kelleher joins elite company with 33 wins in his first 50 games. Only Alisson (37) has a better record.
Top 4 Goalkeepers with most wins in first 50 appearances for LFC
1. Alisson - 37
2. Caoimhín Kelleher - 33
3. Nigel Doig - 33
4. Pepe Reina - 32
Kelleher is highly underrated. Njoo hapa Saint Anne [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini kumlinganisha Kelleher na Allison ni Big kosa la jinai
Huyu Nicol akalee wajukuu tupo era ya Slot haina mbio ni moss moss tu mpaka kieleweke...
Whats the fan kukimbia all over aafu sare ama kipigo....
Kwa sasa move zote zipo measured hakuna kukurupuka.
YNWA
Gegen pressing au possession football zote zina changamoto.Slot kaangalia sana clip za Liverpool last season na akaja na mbinu zake kwamba gegenpresin ya Klopp ina changamoto zake ukiwa huna ballers wakat unacheza vs ballers kama Chelsea hivyo mbinu ni kupiga counter attack na hakika tumefanikiwa...
YNWA
Gegen pressing au possession football zote zina changamoto.
Gegen pressing ilitupa heshima siyo tu England bali Ulaya nzima. Ni style inataka uwe na watu sahihi na uta enjoy football. Slot hawezi kuwa Klopp wala Klopp kuwa Slot. So asingekuja aanze kucheza gegen pressing wakati siyo style yake na hawezi kuifundisha.
Hakuiacha, bali hajawahi kuitumia maana huwezi kuacha style ambayo HUNA.
Shukrani sana Mkuu usichoke nachangamsha sana group fulani la whatsapp😃😃😃Ukiweka kwenye mizani possession football na geggen pressing, possession football, inakupa muendelezo mzuri over geggenpressing, hii geggen pressing, muendelezo wake unakua mgumu unlike possession, thats why hii geggen ina watu wachache sana, na mafanikio yake ni less over possession.
Weaknesses za Geggen na possession za geggen ni nyingi kuliko possession, kwa sababu ni huge weakness, ukishaumiziwa mchezaji wako na fatigue during the ongoing season tayari umepunguzwa makali.
Geggen inakupa
Majeruhi wengi
Na uchovu maana msingi ni nguvu na mbio”,. Tofauti na possession. Thats why tukimchukua Klopp kama muumini mkubwa wa geggenpressing changamoto yake kubwa ya injuries and fatigue, aliipata kuanzia Feb to late April/May, kwa kujirudia rudia, why Geggenpressing.
Ni system nzuri but weakness yake kubwa ni hiyo, na ndani ya uwanja unahitaji fresh legs after every 3-4 seasons of which unahitaji wamwaga hela kweli kweli, labda unaweza ku sustain for long, ila hii geggenpressing udhaifu wake mkubwa ni hapo kwenye injury na fatigue. During the match Possesion football ni rahisi ku unlock mid and low block system compare to geggen ambayo inakuhitaji mpinzani wake afunguke na yeye.
But if you have big boys wa kukupa mkwanja when you want hii Geggen pressing hakuna timu inatamani kukutana nayo, thats kwenye peak ya Klopp 2018-2022 ilikuwa ni hatari kukutana na wale jamaa.
I like both of them but with balance.
Ms Liverpool Saint Anne umeiona hii ?😃😃😃Hapa umemgusa penyewe”,. Haswaa Ingawa hiyo records hawezi tena kuivunja”,.
Shukrani sana Mkuu usichoke nachangamsha sana group fulani la whatsapp[emoji2][emoji2][emoji2]
Ms Liverpool Saint Anne umeiona hii ?[emoji2][emoji2][emoji2]
Wacha wee😆😆Tafuteni GK wa maana, mtakuwa wazuri coming season(s). Sanchez is good but not good enough.
Otherwise thanks on behalf of all.
Sasa unakasikiliza hako kaMona😂😂😂😂Ms Liverpool Saint Anne umeiona hii ?😃😃😃
DogoHaka katoto kabishi hapo atakung’ang’ania weee, na hisia za kina dada kwenye mpira ni tofauti na siye,. Huwa wanaweka na tu mahaba humo humo,
Ynwa’
Unachambua mpira au unatuadithia mpira ?Najua mashabiki wa Chelsea watakuwa wamefurahishwa na performance yao ila ubao unawaumiza.
Kwenye mpira strength yako inaweza kuwa weakness yako at the same time.
Walijua build up ya LFC msingi ni Double pivot Gravern & Jones, plus CB’s akaja na mbinu ya narrow high pressing, wanatengeneza umbo la square yaani Gravern na Jones wanazungukwa na watu wanne, halafu nyuma yao wanasima wachezaji wawili au mmoja ili kuzuia spaces za MF’s na Attacks (LW, RW, AMF) wasipokee mipira. Wali win sana kwa sababu walikuwa na two defensive minded MF’s Lavia na Caicedo (binafsi kati ya Caicedo na Lavia all the way namchukua Lavia), jamaa kazuri sana with the ball.
Anyway, kwenye mbinu yao hiyo, wakawa wanatengeneza gap kati ya MF na defenders, sasa hapa LFC wakaamua kutumia “weakness within the strength” yes mmetuzuia kuanzia juu lakini huku chumbani kwenu pako wazi we will try na hili. Hivyo Slot akaamua Jota ndiye awe ufunguo wake (mzuri kupokea mpira akilipa goli la mpinzani mgongo), win your duels sambaza mipira kwa LW/RW/AMF (mbinu za kina Tony pulis enzi hizo, kina Moyes na Everton yake ile, kina Big Sam). Somehow Jota tried alot ndio maana injury aliyoipata ilikuwa long ball kuwaniana na Tosin aka mbeat akatangulia ikatangulizwa BOOM foul & yellow kwa Tosin.
Alipotoka Jota baada ya injury, tuka switch kwake tumtumie Salah, again it worked very well, tukapata goli la pili kwa mbinu hiyo. “Within your strength there is a weakness and i will use it”.
2nd goal a world class GK angeucheza ule mpira vizuri tu, kwanza it was poor touch kwa Jones lakn Sanchez didn’t react at a right time, Jones akatumia udhaifu huko and beat Sanchez. 2-1.
An offside goal, it couldn’t be, only if Jones had released that ball immediately. VAR Penalty cancelation yes it was correct decision, not because we won but Sanchez aliugusa ule mpira before kumgusa Jones, but Jones should have scored that goal. Szobo the same as Jones akili na miguu vinapishana kimaamuzi.
Shabiki anakuambia wasingemshika Palmer wangeona, ? Hahah thats football lazima ujue uimara wa mpinzani ni wapi na udhaifu ni wapi ili mminyane hapo hapo, Kudos to Jones alitembea na Palmer muda wote, kudos to Maresca alistick na plan yake ya high pressing narrowly with loads of players.
Again:- Jones and Gravern as Ball carries kwenye miguu yao ndio ilikuwa Silaha nyingine kwa Slot, im pretty Sure kama angecheza Endo angeweza ku struggle kwa structure ya Slot ya jana na strategy ya Maresca jana. Ilikuwa ni mechi ambayo unahitaji watu wanyumbulifu sana wenye uwezo wa kucheza na tight spaces. Wazuri miguuni wakiwa na mpira, hawaogopi kuchukua mpira popote, Jones & Gravern walitu offer hivyo vitu jana. Thats why unaona Slot anadunda even without Natural DM.
Its a pleasure to a new manager kushinda 10/11 games ndani ya msimu wake wa kwanza. Lets keep hope for the best.
My concern je, Slot atajipanga vipi na pressure ya kuwa kileleni? Japo hajawahi kuonja joto hilo we shall see, maana last season joto lilituzudi tukashindwa kuhimili pressure.
Ubingwa una mambo mengi sana ndani yake. Jana nilimuona akiwa furious kwenye tukio la foul dk za 20 hivi, ilikuwa ni Salah ile kama sijakosea, after the match niliona akiwafuata marefa witg full face of furious, bahati wakamzuia bana wewe njoo huku, umeshashinda mengine achana nayo.
Mechi ngumu ya kwanza imemalizika with 3 points in the bag.
Next CL Match, then twende pale Emirates tukavaane na Artata vilivyo.
Up Liverpool
Go reds
Ynwa’