Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🚨😲 Jurgen Klopp discussed Antony as BIG contender to replace Mo Salah at Liverpool, two summers ago β€” reveals The Telegraph! πŸ‡§πŸ‡·
Duuh haya mambo mazito. Akiwa Antony wa Ajax sishangai sana lakin naamin sio kwa ile bei...
Hata Salah hakutua na kapu la magoli kutoka Roma hivyo huyu dogo Antony ana kipaji, lini atakua lethal ni yeye mwenyewe kujituma kwake..

YNWA
 
Nimekuelewa vyema ila nazungumzia shaqir kutoka fc bassel alitakiwa na liverpool kabla ya kurubuniwa bayern akawaacha liver kwenye mataa hotel hii ya inter ni mkasa mwingine!

Ooooh.!!

By that Time nani ungemwambia atue Lfc na kuiacha offer ya Bayern in term of trophies still Bayern were capable of being winners, wages Bayern were too good.

Bayern walituzidi kwa sababu ya ubora nje na ndani ya uwanja.
Kuna mazingira ya mchezaji huwa ni ngumu akishakukataa mnaachana nae,

Refer kwa Coutinho alipotoka Bayern he was still good ila alivyoondoka tukaona ndio bye bye hiyo.

Micki na Auba same applies, Alexis Sanchez na wengine. Ila kuna deals unaona we have no enough economic power, mnakubaliana na hali wakati ukifika bado wana uwezo mnawachukua. Kwa mf. Xhaqiri na Salah

Ynwa”
 
As of now pale nyuma kati pako sorted kuna Gomez na Quansah ambao ni capable deputies wa maana sana.

In a way Konate msimu huu yale majeruhi recurring yake ni kama ameji sort

YNWA

Intensity imepungua, kwa Slotball

sasa hivi Trent hapaswi kuwa juu (overlapping) muda wote mpaka inapobidi na kutegemeana na set up ya opponent, hii imefanya Konate awe na less task to do unlike last two seasons,

Ynwa
 
View attachment 3155598
The MoNA unaielezea vipi kitaalamu Mkuu ?

Amesema ukweli wa alichokishuhudia Slot wa Feyernood na huyu wa sasa.

Its a naked trough LFC haichezi anavyotaka Slot, ni ngumu kuondoa idea iliyosimikwa kwa miaka 9 (minus minne ya mwanzo) utapata miaka mitano, yes not easy but Slot tries to implement his gradually. It will work probably. Kwenye ball possession unaona in the last 7 games tulikutana na real possession football na uliona tulivyokuwa tunateseka nayo, why?? Lack of β€œpossession players”.

Kuna moves huwa zinatokea unaona kabsaaa huyu akipiga kwa X au kwa Y itakuwa better move kutoka na option watakayokuwa nayo X & Y watakapopata mpira ila huyu player atachagua option utajiuliza WHY?

Utapata kujua its about quality. Under Slot unahitaji wajuzi wa miguuni na wingi wa akili, utapata kilichobora sana.

Lakini kwa sasa hana wachezaji hao, wapo lkn kwa anachotaja Slot inawachukua muda kuuelewa ila utekelezaji pia kinakuwa kipengele.

Ile games vs utd ile ndio Slot anataka kuiona. Au vs Ac Milan.

Tupate Sita wa maana i will still recommend Zubi” sita ni kiungo kiunganishi ukipatia hapo una win vingi, remember prime Faby, tulikuwa hatari sana, alipo drop tu tulitafutana. Kikosi ni kile kile kocha ni yule yule ila udhaifu kwa no. 6 timu ikakosa balance.


Ynwa’
 
Mkuu The MoNA natamani kuona uchambuzi wako wa Kitaalam
YNWA

Done it bro.

New six shall be our next target. Kuna basics as 6 zinakosegana. Yes tunanufaika na half turns za Gravern za kikatili.

The way Gravern anacheza ni kama Mousa Dembele wa Spurs zile Half turns zake hata katikati ya wachezaji wawili wanamfanyia marking, inatosha kuvunja press line ya opponents, but we need six ambaye anaweza kuboss MF, anaweza ku screen spaces hata akilipa goli la opponent mgongo, natural six maarifa mengi nguvu kiasi, mwenye tushort and long passes nyingi. Ni ngumu kuona hili ikiwa timu inashinda shinda, ila mkija kupatiwa twice baaasi struggling inaanzia hapo.

Tutamfaidi Gravern akiwa na natural DMF.

Ynwa’
 
Intensity imepungua, kwa Slotball

sasa hivi Trent hapaswi kuwa juu (overlapping) muda wote mpaka inapobidi na kutegemeana na set up ya opponent, hii imefanya Konate awe na less task to do unlike last two seasons,

Ynwa
We have a balanced team now regardless of the opponent since Slot is playing to the players strength.. We all know Trent is an overlapping monster lakini akiwa under pressure when defending he fails badly, Slot identified that mapema akamuweka sawa na sasa he becoming a complete player, that the way to develop players identify thier weakness n strength work it's out perfectly...
Konate same fate, his bones are weak hivyo under intense pressure he wont play oftenl

YNWA
 
It's quite funny how we know little about football out of Europe, ARNE SLOT has been doing a great job tactically in the DUTCH League.

πŸ“ŒWe have seen so many games this season where we are being dominated in possession but we always get the job done βœ…

πŸ“ŒArne slot read the opponent and chose whether to play a low block or a highline.

πŸ“ŒArne slot he has transformed KonatΓ© in to a world class CB, Curtis Jones is now playing like prime Steven G

πŸ“Œ Darwin Robero Nunez is now playing like Prime Ronaldo the Brazilian one.
 
πŸš¨πŸ”Ž Liverpool and Manchester United are BOTH always monitoring Bournemouth LB Milos Kerkez.

He’s on the shortlist of both clubs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…