King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Kwa huu usajili Kloop aliupiga mwingiMacca anaposogea juu pale hua anafanya mipenyezo ya hatari sana.
Half time no problem π€£π€£π€£wembe ni ule uleHellow Captain. Hongera kwa ushindi japo ni halftime
Hii nimekubaliJOTA MAKES IT FIVE WITH A CLINICAL FINISH !!! West Ham 0-5 LiverpoolView attachment 3188139
Hofu yangu bila Gomez na Konate ni Quansah hajawa na utulivu pale nyuma ana mengi sana ya kujifunza. Itakua jambo njema Slot amunzishe Endo pale CBR badala ya Quansah.Gomez hamstring injury! This can make him out for the rest of the season.
Now we've to pray for Konate's speed recovery.
Kwasasa hawa Watu Watatu wameshawaka hawapaswi kupata injury yoyote kwa msimu huu π SALAH, LUCHO na GAKPO
Sure Endo kwenye man marking yupo vyedi sanaa.Hofu yangu bila Gomez na Konate ni Quansah hajawa na utulivu pale nyuma ana mengi sana ya kujifunza. Itakua jambo njema Slot amunzishe Endo pale CBR badala ya Quansah.
Quick recovery kwa Konate.
YNWA
Habari mbaya sana hii, imagine Quansah tena against united[emoji52]Gomez hamstring injury! This can make him out for the rest of the season.
Now we've to pray for Konate's speed recovery.
Kwasasa hawa Watu Watatu wameshawaka hawapaswi kupata injury yoyote kwa msimu huu [emoji117] SALAH, LUCHO na GAKPO
Yaani hapo mkuu hatari ,roho mkononi.Habari mbaya sana hii, imagine Quansah tena against united[emoji52]
Against United atakua salama. Kuna Spurs, Nottingham na Arsenal real soon.Habari mbaya sana hii, imagine Quansah tena against united[emoji52]
ππππHabari mbaya sana hii, imagine Quansah tena against united[emoji52]
ππππNunez aendelee kuwa mpenzi mtazamaji
Kweli maisha yanatofautianaKiswahili huwa kinamsumbua Captain mpaka apeleke Google translate πππ
ππππWe have won 4: 0
That Trent Goal doesn't count to me its a deflected goal though
He should go and train fast with his fellows at bernabeu
Captain Marvelous unamsoma Saint Anne lakini? π€£π€£π€£Kweli maisha yanatofautiana
Wakati wengine tukihangaika na kiingereza cha kuungaunga hadi google tunaenda
Bobby yeye anahangaika na kiswahili.
Shida hataki kujichanganya huku uswahilini.. mwezi mmoja tu anakimaster kiswahili chote .
Ngoja aendelee kumuigaView attachment 3188511
Ushangiliaji wa Trent jana umezua gumzo sana mitandaoni.
Wengine wanasema anamuiga rafiki yake Bellingham na wengine wanasema anawapa maua yao Maboss wa Liverpool. Bado haijafahamika kwanini alishangilia kwa mtindo huu π€·πΏββοΈ