Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Naishia hapahapa ila tuanze darasa la kiingereza.π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Mie ndio bhana kumbe nani.....
Uishie apo apoππππ
Thanks ticha wa mie π
YNWA
Cc OllaChuga OcMwanga unaonekana kutokana na matokeo ya wengine tarehe 30/12/2024
Ipswich 2-0 chelsea!
Mpaka nimemkumbuka Natt philipsAgainst United atakua salama. Kuna Spurs, Nottingham na Arsenal real soon.
YNWA
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Ay hapahapa ila tuanze darasa la kiingereza.
Wewe kiswahili hutaki tu kujua bwana
Yaani nchi nzima imejaa waswahili,, wewe unajifungia na wenzio wazunguπ€£π€£
Yupo Derby County kwa mkopo aisee.Mpaka nimemkumbuka Natt philips
Onaπ€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Fingers crossed Sunshine.
YNWA
Boy has potential... Its takes loads of xcter to produce or shift that to the real games...
Aangalie graph ya Jones na Elliott ataona ana future kwa sasa awe na utulivu tu.
Hio ya Bristol sina taarifa zao.
YNWA
Nice angalau next games Dommy Elliott Jones Macca can compete for dakika pale kati aafu Yakuza atazamwe pale back line
YNWA
Hahaha Miss Liverpool mbona nipo uswazi aisee huko uzunguni wapeee.
Much appreciation sunshine.
Nashukuru sana kwa shout out mwaka 2024. Tumekua pamoja sana [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
YNWA
Ollachuga umepotelea wapi.
Hakika Hakika mkuu mimi natamani man u waipite Ile miaka yetu nawazoom na kuwahesabia. Wali kuwa na midomo Sana kama chuchungi.Chelsea walau wanajaribu unaona wana good flow, bahati mbaya kwao defensively issues wana weakness,
unlike utd wanatia huruma. Ila huruma yao ni furaha sana kwa Kop yeyote.
Happy New Year 2025 in advance.
Ynwa
Man U wakifungwa nafurahi sana, sasa wanaenda kushuka daraja...napata amani sana
Shuleni + chuoni nilkuwa nakosa amani, siangalii mechi kwa raha walinicheka sana
Sisi ndio mabingwa wapya msimu huu inshallah πYaani ubingwa msimu huu unatutaka wenyewe.
YNWA
Una kitu usikilizwe mkuu Mona ongea hapa.The MoNA Wana Liverpool wote
Mimi ishu inayoniumiza ni Performance ya Robbo aisee amekuwa anafanya blunders kibao zinazo sababisha magoli au yeye kulambwa Kadi. Sijui Slot anamsaidiaje? Maana huyu nae amekuwa na sisi nyakati nyingi mbaya na nzuri tumekuwa naye na ukizingatia pale AXA training yeye ndio Comedian na gossiper wa timu. Je kuna namna ya kumsaidia ili asiwe anasababisha makosa? Kama vile ambavyo mara nyingi Konate amekuwa akifuta makosa ya TAA? Kuuzwa sio haki kabisa. Je awe ni back up ya beki mwingine atakaye sajiliwa? Baada ya Tsmiskas kuondolewa?