Kwa hawa wamiliki wetu hamna usajili mkuu.Ngoja tuone, Slot ata plan vipi, but we need good LCB, kwenye dirisha hili.
Ynwa’
Robbo anatia sana huruma sijui Slot na jopo lake anamsaidiaje?Una kitu usikilizwe mkuu Mona ongea hapa.
🤣🤣🤣🤣Hata sija angalia hio avatar aisee. Ngoja niitazame.Kete hiyo umesogezewa comrade 🫠na mtoto mzuuuuuri kabisa.
Kama ulichungulia Avatar yake last few months, kuna wadau waliona mtoto mzuri shape Jesery ya Szobo.
Up to you, bro unakubalika hatari huyu hata mahari anajilipia anachotaka ni uwepo wako tu, mengine muachie yeye.
Happy New Year 2025 in advance.
Ynwa
Slot kuhitaji ni jambo moja na FSG kumpa hao wachezaji ni jambo lingine kabisa. Tuna wamiliki wa hovyo sana hawajui kukumbatia fursa hata iweje wao wanatembelea nyota za makocha.Ngoja tuone, Slot ata plan vipi, but we need good LCB, kwenye dirisha hili.
Ynwa’
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Annne ni nini jamani.Ona
Yaani hawezi kufululiza kiswahili😂
Yupo stagnant mode aisee. When and where he will restart sijajua kabisaa...inaanza kule mazoezini aafu inakuja direct in real game.Clean.
Msimu huu amekuwa championship defender.
Ynwa
Umejikaza sana Leo🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Annne ni nini jamani.
YNWA
Mtoto wa elfu2 una mambo 😂😂😂Kete hiyo umesogezewa comrade 🫠na mtoto mzuuuuuri kabisa.
Kama ulichungulia Avatar yake last few months, kuna wadau waliona mtoto mzuri shape Jesery ya Szobo.
Up to you, bro unakubalika hatari huyu hata mahari anajilipia anachotaka ni uwepo wako tu, mengine muachie yeye.
Happy New Year 2025 in advance.
Ynwa
Nilitaka nishangaeYupo stagnant mode aisee. When and where he will restart sijajua kabisaa...inaanza kule mazoezini aafu inakuja direct in real game.
Amekua accorded real chances to show the gaffer why asitupwe championship kwa mkopo kazi kwake kukumbatia fursa na kusepa nayo positively.
We need big time results not jokers hakuna margin of error, case study Manchester City waleee.
YNWA
The MoNA Wana Liverpool wote
Mimi ishu inayoniumiza ni Performance ya Robbo aisee amekuwa anafanya blunders kibao zinazo sababisha magoli au yeye kulambwa Kadi. Sijui Slot anamsaidiaje? Maana huyu nae amekuwa na sisi nyakati nyingi mbaya na nzuri tumekuwa naye na ukizingatia pale AXA training yeye ndio Comedian na gossiper wa timu. Je kuna namna ya kumsaidia ili asiwe anasababisha makosa? Kama vile ambavyo mara nyingi Konate amekuwa akifuta makosa ya TAA? Kuuzwa sio haki kabisa. Je awe ni back up ya beki mwingine atakaye sajiliwa? Baada ya Tsmiskas kuondolewa?
Msaada wa kumsaidia ni kumuuza tuThe MoNA Wana Liverpool wote
Mimi ishu inayoniumiza ni Performance ya Robbo aisee amekuwa anafanya blunders kibao zinazo sababisha magoli au yeye kulambwa Kadi. Sijui Slot anamsaidiaje? Maana huyu nae amekuwa na sisi nyakati nyingi mbaya na nzuri tumekuwa naye na ukizingatia pale AXA training yeye ndio Comedian na gossiper wa timu. Je kuna namna ya kumsaidia ili asiwe anasababisha makosa? Kama vile ambavyo mara nyingi Konate amekuwa akifuta makosa ya TAA? Kuuzwa sio haki kabisa. Je awe ni back up ya beki mwingine atakaye sajiliwa? Baada ya Tsmiskas kuondolewa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata sija angalia hio avatar aisee. Ngoja niitazame.
Thanks buddy.
Big up sana kwa in depth analysis mostly after games.
Happy prosperous 2025.
YNWA
Slot kuhitaji ni jambo moja na FSG kumpa hao wachezaji ni jambo lingine kabisa. Tuna wamiliki wa hovyo sana hawajui kukumbatia fursa hata iweje wao wanatembelea nyota za makocha.
YNWA
Yupo stagnant mode aisee. When and where he will restart sijajua kabisaa...inaanza kule mazoezini aafu inakuja direct in real game.
Amekua accorded real chances to show the gaffer why asitupwe championship kwa mkopo kazi kwake kukumbatia fursa na kusepa nayo positively.
We need big time results not jokers hakuna margin of error, case study Manchester City waleee.
YNWA
Nilii screenshot sijui kama ipo kwenye galleryAmebadili, tayari baada ya masela kurusha sana ndoano.
Thanks mate have the same wish.
Ynwa’
Mtoto wa elfu2 una mambo [emoji23][emoji23][emoji23]
Bobby binamu yangu huyo
Ila nampendaga sana huyu Kaka aisee..
Mzungu wa roho na maandishi yake.
Msaada wa kumsaidia ni kumuuza tu
Jamaa limekuwa tapeli sana la mpira.
Nilii screenshot sijui kama ipo kwenye gallery