Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
on death bed but who knowsDoc.pole sana kaka
May Allah almighty atakupa tahfif Kwa unayopitia
You Will Never Walk Alone pal
Unaendeleaje mkuu?i wil be fine
Your words mean so much to us. We are grateful for the love and memories we've shared as a liverpool family. You've brought joy into our lives, and we cherish every moment we've had together in this forum. Thank you for being a part of our life Baba Swalehe. 🙏🙏🙏on death bed but who knows
i was happy to be your family
ynwa
SLOT Need to manage this squad better, Kuna mechi nyingine ni perfect opportunity kuwapa baadhi ya wachezaji mapumziko Gravenberch is playing far too much wakati Endo yupo na ni capable alternative. Chiesa & Elliot watapata a go lini ya kucheza.
We need real rotation.
Kuna chochoro tunalazimika kulisifia tuAkifanya vizuri tutamsifia
Tutaacknowledge juhudi yake
Hatuna baya
Ila hatuwezi kuomba msamaha kwa ujinga wake wa kuzembea kufunga
Hao wanakuja kamaMkuu zingatia haya 👇
1. Kikosi hakipangwi kwa hisani na fulani naye apate kucheza.
Hivyo kila Mtu atapangwa kutokana na anacho offer kwenye Timu.
2. Timu yetu haipo kwenye kipindi cha mpito (Transitional period) yaani hatupo kwenye Phase ya kujenga Timu bali tupo kwenye phase ya kushinda Trophy kupitia Timu ambayo ilishajengwa na Klopp, hivyo hakina kocha anayepaswa kufanya majaribio ya wachezaji kwenye kipindi kama hiki kwamba umpumzishe Key Player ili umjaribu mwengine? Big No yani.
Ukisikia afe punda mzigo ufike ndiyo kipindi kama hiki na position tulionayo! Hapa tulipo ndiyo kipindi ambacho Mchezaji anacheza hata kwa Sindano (Anti-pain) Alimradi tu tufanikiwe.
Hao kina Elliot, Hendo, sijui Chiessa kwa kipindi hiki watuache wasubiri hizo hizo dakika zao 20 mpaka 30 za kipindi cha pili.
HUWEZI BADILISHA TIMU YA USHINDI WAKATI KAMA HUU
Tunahitaji ubingwa
Aliyemleta Chiesa alitakiwa kuwa gerezani muda huuMkuu zingatia haya 👇
1. Kikosi hakipangwi kwa hisani na fulani naye apate kucheza.
Hivyo kila Mtu atapangwa kutokana na anacho offer kwenye Timu.
2. Timu yetu haipo kwenye kipindi cha mpito (Transitional period) yaani hatupo kwenye Phase ya kujenga Timu bali tupo kwenye phase ya kushinda Trophy kupitia Timu ambayo ilishajengwa na Klopp, hivyo hakina kocha anayepaswa kufanya majaribio ya wachezaji kwenye kipindi kama hiki kwamba umpumzishe Key Player ili umjaribu mwengine? Big No yani.
Ukisikia afe punda mzigo ufike ndiyo kipindi kama hiki na position tulionayo! Hapa tulipo ndiyo kipindi ambacho Mchezaji anacheza hata kwa Sindano (Anti-pain) Alimradi tu tufanikiwe.
Hao kina Elliot, Hendo, sijui Chiessa kwa kipindi hiki watuache wasubiri hizo hizo dakika zao 20 mpaka 30 za kipindi cha pili.
HUWEZI BADILISHA TIMU YA USHINDI WAKATI KAMA HUU
Tunahitaji ubingwa
Hahahaaaaaa - ndiye huyo huyo alimleta sturridge (aka storage glassy boy), Thiago alcantara na Harry KewelAliyemleta Chiesa alitakiwa kuwa gerezani muda huu
Captain wakati Darwin Nunez anaingia Mashabiki wa Brentford walikuwa Wana chant Andy Carroll huyo anaingia 🤣🤣🤣