Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Same old same old Liverpool troop.LFC kuna 2 scapegoats now.
Nunez & Trent.
Ila tuna wamiliki vilaza sana ujue. Yani Manchester City wamenusa kukosa big 4 haoo wamewekeza karibu usd 200m January 2025. Tazama Liverpool tunanusa Ubingwa huu hapa mahitaji tunayo kabisa ya wazi wazi lakin FSG haoooo wanakula kona tutajijua yaaani we are cursed kwa kweli.Kwa Mfumo wa usajili wa Liverpool hizo changes kuzifanya kwa One to two windows haiwezekani.
Watahitaji 4 windows au zaidi
π€£ Umedukuliwa sio bure. Kwamba VAR inasinzia muda wote.Siwaelewi wanaLiva wanaoogopa kupitwa na sisi kama vile jambo hilo linaweza kutokea.
Mnasahau mna bahati nzuri/kubebwa huku sisi tuna bahati mbaya/kuonewa?
Mchezaji wetu akigusa mpira kidogo kabla ya free kick anakula kadi nyekundu au akimkata mpinzani umbali wa mita 80 kutoka lango letu anakula nyekundu hata kama hakustahili.
Mchezaji wenu akijikwaa mwenyewe kwenye box la mpinzani mnapewa penalty. Mchezaji wenu akimvamia mpinzani kijambazi anapewa njano.
Mifano ni mingi ila cha muhimu ni kaeni kwa kutulia. Ubingwa mtaupata tu.
Midlands Villa is a tough ground... Hivi ndio hapa hapa Klopp aliwai pokea kipigo cha goli 7?
Aston Villa wako vyema sana nyumbani wamecheza mechi 13 bila kupoteza hata moja
Wamiliki wana nafasi yao ila kiukweli hawa wachezaji wetu wengi wameshaprove failure.Midlands Villa is a tough ground... Hivi ndio hapa hapa Klopp aliwai pokea kipigo cha goli 7?
Aston Villa wako vyema sana nyumbani wamecheza mechi 13 bila kupoteza hata moja hivyo sio kwamba tumekutana na kibonde Hapana ni timu inayojua wanachokitaka na kocha anaejua kucheza na timu isiyopaki basi kama Liverpool...
Kutoa sare Villa park sio mwisho wa dunia we have seen bad n tough guys, hua mpaka ligi iishe natazama the next game maana last game inakua closed affair impact yake ni mpaka mwisho wa ligi... Tuna gemu kil baada ya siku 3 n kwa kikosi tulichonacho lazima tukumbaliane kwamba matokeo yatakua helter skelter at times guys ushauri wangu ni we embrace the situations kama ilivyo we move forward as a unit.
Haya yote tusishau sio Nunez wala Jota au Slot ni FSG kutosajili wachezaji pale fursa imejitokeza kwamba tunaokimbizana nao wako pambaya. Tutasema Nunez kile Nunez hiki lakin ukweli ni kwamba kikosi kilichopo kipo nafasi ile kwa kua washindani nao wamepoteana jamaa hakuna consistency kwa Arsenal au Manchester City au Chelsea otherwise wala tusingekua tulipo maana sare zoteeeee na bado ligi tunaongoza kwa kweli inatoa picha halisi kwamba its open race msimi huu haina mwenyewe mpaka sasa.
We are lucky we are leading the race.
We go to Ethad we push for a win if necessary or a draw if necessary then afterwards we focus Newcastle game. game.
YNWA
Yeah.
Na tukipita hapo tunakutana na mshindi kutoka hiyo branch ya kina Arsenal au real madrid au A. Madrid
Ila tuna wamiliki vilaza sana ujue. Yani Manchester City wamenusa kukosa big 4 haoo wamewekeza karibu usd 200m January 2025. Tazama Liverpool tunanusa Ubingwa huu hapa mahitaji tunayo kabisa ya wazi wazi lakin FSG haoooo wanakula kona tutajijua yaaani we are cursed kwa kweli.
YNWA
Mkibeba kombe je? Bado waondoke au wabaki kulitetea?Wamiliki wana nafasi yao ila kiukweli hawa wachezaji wetu wengi wameshaprove failure.
Sare ya 3-3 vs Newcastle
2-2 vs Everton
2-2 vs united
2-2 vs villa
Hizo ni sare ambazo tulikua kwenye wining position. Ukizichunguza hapo tatizo sio kina Nunez bali ni upande wa ulinzi huko
Ukiona wachezaji waandamizi wanekosa ubingwa zaidi ya mara mbili kwa point 1, kisha wakakosa tena wakiwa top huku zikibaki mechi 7 tuu ligi kuisha ujue hao hawana mentality tena ya kukupa ubingwa
Mikataba iishe tuu VVd asepe, TAA asepe, Robertson asepe, Allison aondeke abaki keheler, Nunez, Jota hawa waondoke wakubaki labda iwe Salah peke yake, huwezi kubaki na jeshi lile lile linalokufelisha kila siku pale wanapokaribia kupata ubingwa. Ni heri kuanza tuu upya
Gakpo
Macca
Grav
Szobo
Ibou
Hawa ndio wabaki tuwaone tena misimu miwili mitatu ijayo
sijui ni nn ila naona asernal akipoteza au draw ,100% atapata tokeo moja wapo kat ya iloMy prediction today π
Arsenal - Win
Chelsea - Lose
Manure - Lose
Sikuelewi mkuu. Mimi yule boya nimempiga 5 kwa moja. Kwake nilikuwa nimpige 1-2 au 1-3 sema nilicheza nikiwa pungufu half nzima na extra time aliongezewa zaidi ya muda.My prediction tomorrow π
Liverpool - Draw
Sare dhidi ya Man City sio mbaya hata kidogo ikiwa ni matokeo ya kimchezo na sio uzembe wa Mchezaji wetu kwa makosa binafsi kusababisha tusishinde.
Kumbe tumeona wengi na sijui kwanini hawakumuuza nunez uarabuni? πππLFC kuna 2 scapegoats now.
Nunez & Trent.
Wakikosa mwaka huu kamwe hawataweza tenaMkibeba kombe je? Bado waondoke au wabaki kulitetea?
My prediction today π
Arsenal - Win
Chelsea - Lose
Manure - Lose
Sikuelewi mkuu. Mimi yule boya nimempiga 5 kwa moja. Kwake nilikuwa nimpige 1-2 au 1-3 sema nilicheza nikiwa pungufu half nzima na extra time aliongezewa zaidi ya muda.
Wewe unashimdwaje kumpiga si chini ya 4-0 huyu?
Uko sahihi ila unatumia busara nyingi kwenye haya masuala ya kishabiki. Mimi ninachomaanisha ni hao mamacita walaini saaaanaaaa, yaaani wewe jipigie tu kama wengine tunavyojipigia.Mpira haupo hivi Liverpool kamfunga Bournemouth uwanjani kwake lakini wewe kakufunga.
Aliyemfunga Forest 5 mimi nimemfunga kwake lakini Forest kanifunga uwanjani kwangu.
Spurs nimempiga uwanjani kwake lakini yeye kamfunga Manure uwanjani kwake ila Manure nilishindwa kumfunga uwanjani kwangu.
Hivyo kumfunga Man City haimaanishi na sisi tutamfunga
Man city walaini ila siyo Etihad. MkuuUko sahihi ila unatumia busara nyingi kwenye haya masuala ya kishabiki. Mimi ninachomaanisha ni hao mamacita walaini saaaanaaaa, yaaani wewe jipigie tu kama mengine tunavyojipigia.