only three signings is all what we need
Kipa, holding na striker mmoja
We're in For SHAQIRI...
Mignolet hafai?
source reliable bro? I'm a big fan of xhedan
hahahahaha!!
SHAQIRI akibuma kama Lovren, wataalam wa mambo wataanza kukwambia ni commitee signing syo BR signing...
Ila ni SHAQIRI na KEEPER, BR anamtaka Perin wa Genoa but Wanataka £25m..na itakuwa ngumu kumwachia january coz Genoa nao wapo sehem nzuri sahv kweny Serie A...window ya January inakuwaga ngumu sana!!
Lets wait and See!
Bado sijamuelewa wala kumsamehe BR kwa kumuuza Agger! Ni decision ya kipuuzi EPL nzima.
ni bora kurudisha Ibe na kuacha Suso amalize muda wake Liverpool kuliko kuanza kuleta other players, IMO Ibe na Suso can do a better job... they know the team, coach tactics and the dressing room
BR anahangaika sana aisee
BR ana ego, na Agger ana ego yake. BR aliona anakua undermined/challenged... na kwa sasa it seems agger was right!! maana tunaona defense inavyofuka
kwenye game ya Burnley, Emre Can kamuonesha BR ni jinsi gan alivyo fraud...huwez ukamweka bench CAN kwenye kikosi kibovu kama hiki cha sasa!!
kacheza kwenye CB, lakin alicheza vizuri kuliko Lovren ambae BR alwayz anam-beba ili kuprove kuwa hakukosea kumsajili..
Lovren kapanic sana sahv, medias zinamwandana kwa form yake mbovu, hawez kucheza vizuri tena kwa kipind hiki..lazma akae sawa kisaikolojia kwanza!!!
ni bora kurudisha Ibe na kuacha Suso amalize muda wake Liverpool kuliko kuanza kuleta other players, IMO Ibe na Suso can do a better job... they know the team, coach tactics and the dressing room
BR anahangaika sana aisee
LOL.. Di Marzio saying Juventus are in talks with Bayern Munich kuhusu loan move with an option to buy ya Xheridan Shaqir..
Top four inazidi kuota mbawa, with Arses collecting points ki vyovyote vile