Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Rodgers ni boya sana. Bado ana mentality ya kufundisha timu inayoridhika kuwa mid-table team after those 38 games.
Vipi kumpa masharti magumu Captain Fantastic wakati hana bado worthy replacements?

SG angekubali kutokuwa "automatic starter" kama team ingekuwa imesheheni wachezaj wa kariba yake yeye na wenye viwango vya kuifikisha team popote pale...

Asa mtu una LUCAS, Allen na Hendo (Average players) afu unataka umzime SG, kwa wachezaj gan pale LFC???

LFC fans, hawatak kuuona huu ukweli, Tangu BR kaja LFC kaz kubwa anayoifanya ni kuziondoa zile signings za Benitez ambazo ndo zumekuwepo LFC for ages (Alianza na kina Aquilan, reina, Agger, Pacheco etc, now is tryna to get rid of suso, na kipind cha usajili cha august 2013 si tuliona jinsi alivyokuwa anahangaika kumuuza skritel, na mwaka jana alvyokuwa anamforce Lucas out, lakin hao kina MS na Leica ndo wamekuwa wachezaj wake muhimu zaid kwenye team kwa sasa, kina Allen wamefeli kuimpress..

ukiangalia kwa kina hakukuwa na haja ya Kuwaondoa kina Reina na kina Agger kwa madudu haya tunayoyaona sahiv kwenye team upande wa defense..

Aquilan alikuwaga ni very special player, majeruh tu yalikuwa yanamsumbua kipind kile..Si ajabu angem-bakiza angekuja kumsaidia sana, kuliko hawa kina Allen..

Katolewa Reina - replacement ikawa Mignolet (deadwood)

Katolewa Agger - Replacement ikawa Lovren (DEAD-WOOD)

Katolewa Suarez - Replacement ikawa MB and Lambert (Two MASSIVE dead-wood, atleast namsubiria MB kwenye diamond formation)

Walitolewa kina Aquilan - replacement ikawa Allen..

Sahiv anatoka SG - replacement unaweza ukaletewa Fabian Delph..

Hiyo ndo LFC..
 
Karibu jamvini tena mkuu!Tupo na Liverpool yetu tunasonga mbele!...

Asante Mkuu Malafyale. You always keep our thread a live. Much respect to you Bro!!

Karibu tena brother..

Uchambuzi wako wa kweli kuhusu LFC ulikosekana sana kipindi flani..tuliumiss sana.

karibu tena jamvini tuendelee na LFC yetu..

Nimekaribia kiongozi. Inafurahisha kuona jinsi wanalivepool walivyo wajuzi na ufahamu wa kina kuhusu timu yao na mchezo wa mpira kwa ujumla.

Jukwaa letu halichoshi

...Janjaweed, Tish-TOTO, Tee Bag, mak89, Kingmairo, MartinDavid, nyangelekene, TheMagnificent,Ed n Edd nEddy, Plesis, Kassid mtunzi, delako, Blac kid, nguvu, stormryder, Tores and the rest...heshima kwenu!!
 
jamaa alipigana mpaka akapata jezi ya King SG.....


Adebayo, a lifelong Liverpool Fan. Kuna taarifa kwamba baada ya gemu ya jana, jamaa alijitahidi sana kumsihi Gerrad abadilishe uamuzi wake wa kuondoka
 
KUONDOKA KWA STEVEN GERRARD
Wakuu, tumeongea mengi mara baada ya talisman wetu kutangaza kwamba ataondoka mara baada ya kwisha kwa msimu huu na naona mashambulizi mengi yamekuwa yakielekezwa kwa BR and I think for some point, he deserves the blames

Kwa nafasi hii na ruksa ya jamvi najilekeza kwenye angle tofauti kidogo. Kama mwanaLiverpool na mwanamichezo kwa ujumla, nimeguswa sana na habari hizi na kujikuta nikisoma na kuangalia different interviews ili mradi zinajielekeza kwenye ishu ya kuondoka SG.

Interviews especially za (SG) na Rodgers ndizo zinazonipelekea kuangalia ishu hii kwa jicho la tofauti kidogo ambalo litajikita zaidi kwenye personal feelings. Mara ya kwanza alipoongelea kuondoka hakutaja kuhusu kuambiwa kwamba hatokuwa “Automatic Starter” bali moja ya paragraph ambayo ilisimama kama sababu ya yeye kuondoka ilisomeka “"My decision is completely based on my wish to experience something different in my career and life and I also want to make sure that I have no regrets when my playing career is eventually over.” Point yangu naijenga kwenye statement hiyo ambayo in any case ni maneno ya mtu decent yakitoka moyoni mwake na ndiyo maana angle yangu unaweza ukaiona inajielekeza kwenye maisha binafsi zaidi

Kuna kitu kimejitokeza kwenye michezo yetu ya hivi karibuni na ninajaribu kufikiri kwamba it might be one of the factors which influenced SG’s decisions. Gerrard anapokuwa bench, na mchezaji X ambaye anakuwa anacheza kwenye nafasi ya SG, will always be judged kwa kiwango cha SG. Na endapo X anafanya vizuri watu tutasema ‘ Oh now we don’t want SG na lawama kwa coach kwamba alikuwa wapi kufanya hayo mabadiliko? but…X akifanya vibaya tutasema “ The player is shit we need back our captain fantastic na lawama kwa coach kwa kumuweka bench SG. Nafikiri mfano mzuri ni our recent games with Swansea and Burney.

Kwenye interview ambayo SG amezungumzia kuhusu conversation yake na BR amegusia kwamba alitamani angekutana na BR wakati akiwa 24…"The reality is, Brendan came into this club when I was 32 years of age and it's a shame that relationship didn't start 10 years ago." Hii ni statement ya SG ikituonyesha kwamba anatambua kwamba muda wake kama mchezaji unafikia ukingoni…after Hillary Swank discovers that she is going to die from her disease in a movie “You are not You”, what she wanted is to enjoy every single mns she was left with. SG now knows that he is approaching the end of his playing carrier. Kama binadamu unajitathmini na kuangalia kitu gani umekifanya. Looking back, SG would agree to himself that he has done a lot to the club and his country and I think he said to himself…Ok it’s time for me to be a little bit selfish now…SG while interviewed with LFC TV presenter Claire Rourke “I have to put my family first, I think about me and the club as one. It was a tough decision but the reality is I’m 35 in the summer”

I've been in conversation for quite a while with Steven and had an idea of his feelings towards moving forward. He had always been really respectful in terms of once he made final decision that he wanted me to know first.
'What the guy has done in the game he deserves that time to make the decision. The decision is purely at this time for him and family. He is an iconic figure at this club and always will be.
'In time there will be an opportunity for him to come back here. At this moment in time in his life it was a chance to experience something different in his life.',
Brenda Rodgers

On the fourth paragraph tumeona unsettlement and stress ambazo zimejitokeza kwa either kucheza au kutokucheza kwa SG. I don’t think Gerrard would like to kick his final ball while under pressure. He has being tolerating a lot for nearly 17 years and now I think him and his family decided to give it a rest.

Go to MSL and join LA Galaxy. Play FEWER games. Leave in LA with other CELEBRITIES and enjoy the BEACH!
 
osokonoi mido wetu SG mwenyewe kaeleza kuwa BR ndiyo kamuondoa Liverpool kwa kumuambia wazi HANA tena namba ya kudumu na pia WALIKUWA wanamjadili toka summer kuwa ama wampe mkataba mpya au wamuache!Walipo amua kumpa wakaja na MASHARTI lzm SG aamue kama anataka kubaki akubali aw bench!Mechi ya Liverpool na Madrid ilimuuma sana kukaa nje!

Steven Gerrard would have signed new Liverpool contract in summer - ESPN FC

Msome zaidi SG hapa chini,leo akiongea ma media

Liverpool captain Steven Gerrard admits had the club offered him a new contract last summer he would not be bringing an end to his long association with the Reds at the end of this season.
However, the midfielder insists he does not want to "point the finger" at anyone for his impending departure.


A contract offer was not made to Gerrard, who turns 35 in May and is reported to be on the verge of signing with Major League Soccer side LA Galaxy, until November -- by which time he had already been told by Brendan Rodgers his playing time would be managed.

Such a tactic had already seen him left on the bench for Liverpool's Champions League match against Real Madrid in the Bernabeu and that, combined with the delay in offering him an extension, resulted in the player coming to a decision about his future.


"If a contract had been put in front of me in pre-season I would have signed it," he told the Liverpool Echo. "I'd just retired from England to concentrate all my efforts on Liverpool. I didn't want my club games to be tailored.


"My injury record had been fantastic for the past two and a half years and I had a great season from a personal point of view last season.


"It's all ifs, buts and hindsight now. That period between the summer and the end of November gave me thinking time.


"There's no blame and I'm not angry about it. There are other people in the squad and the club had other things to worry about
. There is no finger pointing from me towards the manager or anyone else at the club."

Rodgers spoke to Gerrard in late November and it came as something of a surprise to the player. But once the writing was on the wall the former England captain knew his days at Anfield were numbered.

"I've got to be honest, that chat with Brendan came earlier than I was expecting," he added. "It was about a month before that he first mentioned to me about managing my game time. We had another chat on the subject recently -- 10 days to two weeks ago.


"It was tough but I understood. It's been very amicable. Everyone knows how much I rate Brendan. Our relationship is very good. There hasn't been a cross word between us. Brendan has been fantastic for me. My only regret is that I didn't get to work with him at a younger age.


"Since I was 16, 17 years of age, the moment I come into work on a Monday morning my preparations begin to play 90 minutes the following weekend.


"That's the buzz. I've always worked hard all week to prepare and make sure my performance is right come the weekend.


"When it gets to the stage where you don't know if you're going to be starting or not it becomes different.


"I've never wanted to be a squad player. If I was missing games now, I'd be sitting out even more next season. I knew it would get worse and worse as time went on."

@
MosDef kweli SG alistahili haya toka kwa BR ambaye hajaifanyia lolote team hii?






 

Haya, tuendeleee...

Awali ulisema Gerrard alitakiwa na timu zote kubwa za Ulaya (hapa naamini ulimaanisha Bayern Munchën, R. Madrid, Barcelona, Manchester United, Juventus, na AC Milan.

Lakini hapo juu umeweka links za timu mbili tu! Hiyo ya SAF, umeona mwenyewe anasema hakumwona SG kama top player wa kuweza kucheza nafasi za Keano na Scholesy, pamoja na SG kutamba Anfield..

Sasa, bado naomba links za timu nyingine na links zinazoonyesha kukataa kwa SG...

Pili, hivi unafahamu hata lineup ya Liverpool siku ile Instabul? Maana unauliza kama Alonso alifanya nini msimu wake wa kwanza? Doh! Alonso alikuja Liverpool msimu wa 2004/05, msimu Liverpool waliposhinda UCL, na yeye kufunga moja ya magoli. Pia, unasahau mchango wa Luis Garćia aliyefunga magoli ya muhimu dhidi ya Rentboys?

Check lineup ya UCL Final 2005

http://www.uefa.com/uefachampionsle...s/round=1972/match=1086988/postmatch/lineups/

Wewe jamaa ni mweupe sana, nasema tena...soma historia ya timu yako vizuri...

Hakuna anayebisha kuwa SG ni mchezaji mzuri sana, ila kwa talents, techniques na sophistications, atasubiri sana kwa Scholesy. Na ushahidi ni kuliliwa kwake na waingereza ili arudi national team iliyokuwa bado na kina SG na FL!

Nimekuuliza, umesikia waingereza wanamlilia SG arudi national team?
 

Chifu, kaulize pia pale La Masia juu ya Scholesy...alitumiwa kama 'a case study' kwa kufundishia akina Messi and Co...akina Xavi, Xabi, Pep na Cesc wanakwambia Scholesy angekuwa mspanish angesifika zaidi ya sasa..

Chifu Malafyale kama unaelewa vizuri mpira wa Uingereza na siasa zake, basi utaelewa namna gani Media inavyochukua nafasi kubwa katika kuwakuza...wachezaji wasiopenda 'media coverage' siku zote wataonekana hawana maana. Angalia jinsi Carrick anavyoisaidia United, lakini siku zote kwenye media utasikia Rooney na RvP...hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Scholesy, jamaa hata interviews alikuwa hataki. Sasa unategemea media zingemchukuliaje? Angalia namna Walcot na Wilshere wanavyokuwa overrated!!
 
Last edited by a moderator:
Issue hii ya SG mie naitazama kwa msimu ujao,impact yake kama utakuwa +_ve.kwa sasa nimapema muno.Leo hii BACA wanatafuta mchawi aliyewafikisha hapo walipo.
 
Mkuu msome AGUERO abaye HAFICHI kusema kuwa yy ni shabiki wa Liverpool na alivutiwa na SG!

Mbona hata SG naye alikiri kuwa ni shabiki wa R. Madrid? Jambo la kawaida tu ili chifu...

Watu hawa akina RRONDO wanashindwa kutofautisha mafanikio ya team na mafanikio individually!Kwenye wachezaji wa dunia hii wakusanywe kwa mafanikio ya individual huyu SCHOLES wala hawezi itwa maana hana cha kuonyesha lkn proudly SG ataenda!

Kwa hiyo 'mafanikio individually' yanapimwaje? Ebu toa 'mafanikio individually' ya SG kwenye wachezaji wa dunia hii. Hapa naamini mafanikio katika ngazi ya dunia, na si Uingereza.

Twende sasa...
 
Last edited by a moderator:
Manure utd fans are always so obssesed with SG..

United fans aren't obsessed with SG...it's Loserfools' fans who are obsessed with United..you called United a mid-table team last year, while Loserfools have been a mid-table team for how many seasons?
 

Hivi hayo mafanikio individually yanapimwaje?

Hivi nyiye watu mnafahamu soka kweli? Footie is a teamwork sport, siyo kama Golf au Tennis.

Hayo mafanikio ya mtu mmoja angeyapata kama angecheza peke yake dhidi ya watu 11?

Hivyo basi, ubora wa timu nzima ndiyo umpa mchezaji fulani mwenye uwezo mafanikio. Yaani huwezi kuzungumzia mafanikio ya Messi bila kuwataja Xavi na Iniesta.

SG alivyokuwa akitamba, nyuma yake walikuwepo akina Xabi Alonso..

Alonso alikaa Liverpool mwaka 2004 hadi 2009. Sasa niambie alivyoondoka Liverpool zaidi ya League Cup ya 2011/12, timu imeshinda taji gani la maana?!?

Kama yeye SG anaweza kuibeba Liverpool kwanini sasa asiisaidie ishinde EPL, UCL au FA Cup sasa?

Utazungumziaje UEFA Cup Final ya 2000/01 bila kumtaja kibabu McAllister? Pamoja na SG kufunga goli (ambapo hata Babbel na Fowler walifunga), timu nzima ndiyo iliyoshinda na McAllister ndiye aliyekuwa MoTM.

Hata 2005 UCL Final, ni baada ya Hamman kuingia ndiyo Liverpool wakaanza kucheza vizuri (kuna mkuu mmoja amekueleza ili hapo awali, lakini haulioni) kwa kujaza viungo na kina Alonso na SG kuanza kutamba. Unasahau heroic saves za Dudek?

Namalizia katika soka huwezi kutaja mafanikio ya mchezaji mmoja bila kutaja timu nzima...ila kuna wachezaji wenye talents wanaoweza kusaidia timu kucheza vizuri...
 

1- Paul Scholes
At number one, who else was it going to be? At the grand old age of 38, he was still playing and the Salford born man was always the ultimate professional. Winning 10 Premier League Titles, three FA Cups and two Champions Leagues medals, Scholes has been vital in every single one. His passing is second to none, his positioning is perfect and he simply controls the tempo of basically every game he plays. Xavi, who some say is the greatest playmaker of his generation, described Scholes as ‘the best central midfielder in the past 15-20 years’ and sees the Englishman as a huge role model. The only criticism against him is his tackling, but we’ll forget about that. And looking past the fouls, Scholes is near enough the perfect midfield maestro, deserving of our best in top-flight history crown. He has amassed just under 500 appearances for United and has played in every season but two of the Premier League. It will be a while before we see another Paul Scholes.
 

Lini alikiri???
 

Alonso aliondoka peke yake pale LFC??? Ni wachezaj wangap waliondoka mwaka 2009/2010??
 

MOTM kwenye UCL final ya 2005 alikuwa ni nan???

Kwann dunia na kina Pirlo wanamkumbuka zaid SG kuliko Hamman??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…