MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Hivi hayo mafanikio individually yanapimwaje?
Hivi nyiye watu mnafahamu soka kweli? Footie is a teamwork sport, siyo kama Golf au Tennis.
Hayo mafanikio ya mtu mmoja angeyapata kama angecheza peke yake dhidi ya watu 11?
Hivyo basi, ubora wa timu nzima ndiyo umpa mchezaji fulani mwenye uwezo mafanikio. Yaani huwezi kuzungumzia mafanikio ya Messi bila kuwataja Xavi na Iniesta.
SG alivyokuwa akitamba, nyuma yake walikuwepo akina Xabi Alonso..
Alonso alikaa Liverpool mwaka 2004 hadi 2009. Sasa niambie alivyoondoka Liverpool zaidi ya League Cup ya 2011/12, timu imeshinda taji gani la maana?!?
Kama yeye SG anaweza kuibeba Liverpool kwanini sasa asiisaidie ishinde EPL, UCL au FA Cup sasa?
Utazungumziaje UEFA Cup Final ya 2000/01 bila kumtaja kibabu McAllister? Pamoja na SG kufunga goli (ambapo hata Babbel na Fowler walifunga), timu nzima ndiyo iliyoshinda na McAllister ndiye aliyekuwa MoTM.
Hata 2005 UCL Final, ni baada ya Hamman kuingia ndiyo Liverpool wakaanza kucheza vizuri (kuna mkuu mmoja amekueleza ili hapo awali, lakini haulioni) kwa kujaza viungo na kina Alonso na SG kuanza kutamba. Unasahau heroic saves za Dudek?
Namalizia katika soka huwezi kutaja mafanikio ya mchezaji mmoja bila kutaja timu nzima...ila kuna wachezaji wenye talents wanaoweza kusaidia timu kucheza vizuri...
Without MESSI Barcelona huwa inakuwa AVERAGE sana...japokuwa xavi na iniesta wanakuwepo uwanjani...
MESSI amekuwa anaibeba Barca mgongoni for Ages.
Hapa tunazungumzia POWER ya mchezaji mmoja kwenye Team.