Liverpool FC wanataka kuja Tanzania, Serikali changamkieni

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Haya sasa serikali ichangamkie hiyo fursa ya kujitangaza kimataifa kupitia bongo zozo

USSR

===
Alichoandikiwa Bongozozo kutoka liverpool na ambacho amekiweka kwenye account yake ya Facebook

Tafsiri

 
Mimi ningependa waje Man U ili wakija wawaeleze pia mashabiki wao, sababu ya kupigwa wiki na hao Liverpool.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiulizwa wiki inasiku ngapi? Unajibu nn mkuu?
 
Shida ukishakuwa chawa basi ni uchawa tu kila sehemu.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Tukumbushane simba wanacheza saa ngapi vile..?
 

Attachments

  • 1678193954332.jpg
    36.5 KB · Views: 4
Hapo ilibidi waziri wa utalii ndio alichukue hili swala mikononi mwake. Jamaa watafeel more appreciated kuliko kumuachia bongozozo mwenyewe. WaKenya navyowajua wanaweza unda hata kamati kulimaliza hili
 
Haya sasa serikali ichangamkie hiyo fursa ya kujitangaza kimataifa kupitia bongo zozo

USSR

===
Alichoandikiwa Bongozozo kutoka liverpool na ambacho amekiweka kwenye account yake ya Facebook


Tafsiri
Mi napendekeza Liverpool waje mwezi wa 7 tarehe 7(yaani kwenye sikukuu ya sabasaba) halafu waalikwe Pia na hao
Manchestersaba Utd, then mechi irudiwe kwa mkapa.
Kwa wale wateja wa magoli
goli moja litanunuliwa Dollars milioni saba (7,000,000$)
Haya sasa serikali ichangamkie hiyo fursa ya kujitangaza kimataifa kupitia bongo zozo

USSR

===
Alichoandikiwa Bongozozo kutoka liverpool na ambacho amekiweka kwenye account yake ya Facebook


Tafsiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…