MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Tarehe 13 Chelsea anashuka dimbani kukipiga na Newcastle kwny mechi yake ya mwisho huku Liverpool akikutana na timu ngumu EPL msimu huu ya Brighton and Hoves.
Liverpool anashindwa kupata nafasi ya kushiriki Uefa msimu ujao baada ya tickets zake mbili kupotea kwa njia ya mazingaombwe.
Liverpool atapoteza mechi yake ya mwisho kwa ushindi mwembamba (0-1) dhidi ya Brighton,huku Chelsea akivuna point tatu kirahisi kabisa kutoka kwa timu nyepesi ya Newcastle kwa ushindi wa goli nne mtungi.
26/05 Liverpool atamalizia kabisa matumaini yaliyobaki pale atakapopoteza tena mbele ya timu bora ulaya ya Real Madrid huku wafungaji wa Madrid wakibaki kuwa walewale ie CR7 ,Bale na Benzema.
Poleni sana Liverpool tukutane msimu ujao tena
Liverpool anashindwa kupata nafasi ya kushiriki Uefa msimu ujao baada ya tickets zake mbili kupotea kwa njia ya mazingaombwe.
Liverpool atapoteza mechi yake ya mwisho kwa ushindi mwembamba (0-1) dhidi ya Brighton,huku Chelsea akivuna point tatu kirahisi kabisa kutoka kwa timu nyepesi ya Newcastle kwa ushindi wa goli nne mtungi.
26/05 Liverpool atamalizia kabisa matumaini yaliyobaki pale atakapopoteza tena mbele ya timu bora ulaya ya Real Madrid huku wafungaji wa Madrid wakibaki kuwa walewale ie CR7 ,Bale na Benzema.
Poleni sana Liverpool tukutane msimu ujao tena