degea pia alikuwepo nje ya box kwaiyo alikuwepo mchezaji sio goal keeperDear Gea anahusika vipi? Hii sio offside kwasababu wakati mpira unapigwa Salah alikuwa kwenye half yao(Liverpool). Offside ina-apply kwenye opposition half.
Sawasawa,,,wakati mpira unapigwa Mo alikuwa hajavuka chaki ya katikatiWewe mwenyewe hujui Sheria za mpira. Offside applies on opposition half. Salah alikuwa kwenye half yao wakati mpira umerushwa/umepigwa.
Refa kachemsha mata alikuwa offside mpira ulitakiwa uwekwe chini.
Kasema nan
It's a shame kwa mwanaume kujifanya ni jike jitambue kiongoziNoma sana,
Vip dstv kifurushi chao cha Mpira ni bei gan kiongozi?
Jitathmini mkuu ya nini kujifanya jike? Daah jf hiiWana Mbona sipati jibu? Oii
Ni dume ila lina mbegu za kike kichwani huoni kaja na id yake ya kike kenge huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwanza huyu jamaa ilibidi aachwe na uzi wake, mwanaume unakuaje hujui sheria za mpira tena za kawaida kabisa, yani hata hiyo VAR haikujiangaisha kucheki hilo goli.. MMU inawaharibu aisee
angalia mkao wa kijitivii chako, au una makengeza nduguNimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Ya wavulana si unaona ilivyo rahisi kuonyeshwa
Karne hii anatumia tv ya chogo unategemea ataona niniangalia mkao wa kijitivii chako, au una makengeza ndugu
Hujui sheria za mpira wewe. Kipa akiwa nje ya 18 anahesabika kama mchezaji wa ndani. Kipindi mpira unapigwa De Gea alikua nje ya 18. 😂😂 kaa hivyo hivyo!
Sio lazma iwe hivyo kuna Scenario mnaweza kuwa ahead ya last-but one defender na isiwe offsideHakuna sheria ya offside inayohusu kipa akiwa nje ya 18-yard box. HAKUNA. Sheria ya offside ni hii
Mchezaji anakuwa offside iwapo wakati anapewa pasi (akiwa kwenye nusu ya uwanja wa wapinzani) atakuwa mbele ya LAST-BUT ONE DEFENDER.
Last but one defender mara nyingi anakuwa beki, huku last defender mara nyingi anakuwa kipa.
Hakuna kipengele kinachohusisha kipa kutoka nje ya box. Kama kipo kiweke hapa.
Scenario nyingine ambayo mchezaji anaweza kuwa ahead ya last-but one defender na isiwe offside ni kama pass imetokana na mpira wa kurusha(throw in) au pigo la kona (corner kick)Hakuna sheria ya offside inayohusu kipa akiwa nje ya 18-yard box. HAKUNA. Sheria ya offside ni hii
Mchezaji anakuwa offside iwapo wakati anapewa pasi (akiwa kwenye nusu ya uwanja wa wapinzani) atakuwa mbele ya LAST-BUT ONE DEFENDER.
Last but one defender mara nyingi anakuwa beki, huku last defender mara nyingi anakuwa kipa.
Hakuna kipengele kinachohusisha kipa kutoka nje ya box. Kama kipo kiweke hapa.
hii hoja haina uhusiano na tukio lilitokea.. Sheria zipo nyingi hawezi sema zoteSio lazma iwe hivyo kuna Scenario mnaweza kuwa ahead ya last-but one defender na isiwe offside
Kama mchezaji anayetoa pass yuko mbele(ahead) ya anayepokea pass, haiwez kuwa offside
Sent using Jamii Forums mobile app