mie ngekua nna uwezo wa kumshauri benitez...ngemwambia afuate nyayo za mourinho mapemaaa ase this week yaweza kuwa mbaya mno kwake...asije akaishia timuliwa tuu ifikapo dec 16...maana atapata kipigo cha pili mfululizo kwenye ligi n yaweza ikawa hitimisho la kutolewa champs.league