Liverpool Kuna pengo lolotee aliloliacha huyu mwamba?

Liverpool Kuna pengo lolotee aliloliacha huyu mwamba?

Davido destro

New Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
2
Reaction score
0
7b270a6043cd332201bbb55caf598e38.jpg

kunapengoo lolotee aliloliachaa huyu mwambaa
 
Si mshabiki wa Liverpool ila labda ulitaka kuanzisha uzi kwa mjadala ambao hautakuwa na uhai .
 
Ni memiss my favorite, Me Liverpool jamani, i wiish arudi achezekidogo,
 
Alipokuwepo alichukua taji ngapi za EPL?
Tuanzie hapo ili wasiomfahamu vyema wapate pa kuanzia.
 
Gerald Steven. Hakuacha pengo kwani umri ulisha muacha. Tulizoea enzi zake zile bullets busters.
Tulimzoea katika kuhamasisha timu uwanjani na wale wachezsji wa 12.
Hendo hana uwezo wa kuhamasisha timu. hapeleki timu mbele kama ilivyokuwa kwa SG.
Jana kashuhudia timu yake ilivyopwaya. Macho yaliongea kitu.
Ngoja Manne aludi toka afcon.
 
Back
Top Bottom