CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,634
- 1,001
Wanapigwa bila wasiwasiMmmm hawa jamaa wolves leo wanawapunguza point jamaa.
Watagawana point leo.
Heading ni Wolves vs liverpool.
Mbona wapo moto sana.hawa mbwa mwitu washakufa tayari
IN KLOPP WE TRUSTWolves0-lfc2.FT......still unbeaten club......
Mwenye wivu ajinyonge.
Wolves hawajafungwa na big teams this season
Njoo huku utueleze kilichotokea, yaani saiv kila mtu anajua kuanzisha mada basi kila madu vi mada vya ajabu ajabu vinaanzishwaMmmm hawa jamaa wolves leo wanawapunguza point jamaa.
Watagawana point leo.
Heading ni Wolves vs liverpool.
Njoo huku utueleze kilichotokea, yaani saiv kila mtu anajua kuanzisha mada basi kila madu vi mada vya ajabu ajabu vinaanzishwa