Liverpool yakiona chamoto Italia, yapigwa bao 4

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba mpaka muda huu timu ya soka ya Napoli ya Italia inaongoza kwa bao 4-1 dhidi ya Majogoo wa Jiji huko Mjini Napoli, game inaendelea.

Bila shaka hiki ni kipigo kitakatifu kwa Jurgen Klopp kuwahi kukipata kwenye nchi ya Italia.

Je, atapindua meza huko kwao?
 
Kuwa wa kwanza ki aje, watu tuna live scores app, tupo uwanjan, tupo vibanda umiza.

Yote kwa yote liver kumtoa Mane lilikuwa bonge la mistake. Timu hadi ije ipate equilibrium watapigwa sana.
Wewe wa Mjini hatuna shida nawe
 
Mane nae ashushe mikono yake anayomshatakia Mungu kama alivyoshusha Ozil kwa Arsenal angalau sasa hivi Arsenal wanaweza kushinda hata game tatu mfululizo.
 
Miaka 30 Inaanza kunukia plus yule Gerald who they are considering him as next Manager of Liverpool will be sucked by Aston Villa this season because of his incompetency.
Shida waingereza kuendekeza ubaguzi sana, Mane angepewa status kama aliyopewa wakina Torres au Suarez jamaa angepambania sana timu, wao kazi kupeleka pesa kwa weupe wenzao , kumuongezea mshahara jamaa waliona kama kutupa pesa acha wapambane na hali zao Salah kupambania timu bado sana , anahitaji mazingira yawekwe sawa ndo aonyeshe cheche, mane ni mashine hata timu ikiwaga imezidiwa anatumiaga sana juhudi binafsi kulazimisha mambo
 
Mkuu hapa unakwama ujue😅😅
 
Unajua ana magoli mangali Bundesliga? Tayari ana goli sita. Kama anashangaa na anafunga basi maajabu mengine hayo.

acha kusema uwongo ndugu, hizo goli sita kazifungia wapi? au mpaka za mazoezini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…