Moderators mko wapi?
Huu Uzi hauna maana yeyote humu!
halaf hawa ndo walibomoa geti siku ile.. pambafWale wamatopeni leo mkaingie kwa hela hamna dezo na kujidhalilisha kuvaa jezi za wamakimatifa. Njaa mbaya sana.
vyura fc....ntafurahi wakipigwa 3...mtungi..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Gari la maiti. Lazma likodishwe tena
ZBC2 pia wapo "mubashara" [emoji38] [emoji38]Hii mechi itaonyeshwa live SABC1