Livingstone Lusinde(Mb): Muuza kahawa aliyemuoa house girl!

katiba ya kujua kusoma na kuandika kama sifa ya mbunge inaleta dharau kwa wasomi,yaani muuza kahawa anakuja sema ana maisha mazuri kuliko msomi kisa kupiga domo na kujipendekeza tu.
Mkuu....
Kibajaji alisema kwamba alifanikiwa hata kabla ya kuwa MB. Na kilicho mfanya akafanikiwa hata kuzidi mawaziri ni uaminifu .
 
Ifike hatua bunge liweke kiwango walau cha form four ili mtu awe mbunge...
 
Hii ni aina ya vinasaba vya wivu wa hali ya juu kwa kiwango cha lami.
Hivi kumbe..... mtu ambae hajasoma haruhusiwi kupata mafanikio....[emoji15] [emoji15]
Kuna ubora wowote wa hotuba za watu kama hawa mbali na kumimina mitusi na dhihaka? Kama upo paste hapa
 
Wille Malecela na degreee zake 3 za Marekani anashindwa kuchukua jimbo kwa mtu asiye na elimu rasmi
 
Kama PhD zenyewe ni hizi za kina Lipumba na mzee wa maganda ya korosho Lusinde anahaki kusema anaakili zaidi yao.Sasa mtu mwenye Phd anakuambia una hisa 16% lakini faida ni 50-50, unategemea Lusinde asionekane genius.
 
Hivi wakitakiwa wenye nidhamu wapite mbele, nae huyu atakuwa miongoni mwao shuwaini huyu?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…