Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Nimepata faraja baada ya kuambiwa kuwa habari ndani ya CCM si shwari tena huko DODOMA ,wengi wa wabunge wa CCM walitaka kura iwe ya siri ,lakini kutokana na nguvu za wakubwa ambao ni vigogo wa CCM na viongozi waandamizi wa Chama hicho wamewataka waunge mkono msimamo wa kura ya wazi ,jambo ambalo limeigawa CCM.
Baadhi ya wabunge wa CCM wenye msimamo wa kura ya siri wamesema haburuzwi tena mtu ,siku za kutishana zimepitwa na wakati watamwaga razi hapohapo kwenye kura za wazi na liwalo na liwe na WaTanzania watajua na kusikia kuwa hakuogopwa Mwenyekiti wala mwenye meza wa CCM na wala hakuogopwa Katibu Kata wala Katibu Mtungi wa CCM ,wataelemea kule ambako WaTanganyika na WaZanzibari wanamatumaini napo na ndio maamuzi ya wananchi walio wengi.
Mambo ya kuogopana sasa hayana tena nafasi,wanalazimisha iwepo kura ya wazi ili waorodheshe majina yetu kuwa hatukuwaunga mkono na kwa vile wao ndio wenye Chama watatushughulikia ,safari hii tutashughulikiana na tutawaachia Chama Chao ,maana kuwepo kwao kunatokana na sisi kuwa pamoja nao ila tukianza kuwaachia kwa kuwa wao ndio wapo juu ya sheria basi wajue sio kuanguka bali watavunjika kabla ya kuanguka ,alisikika mbunge mmoja akielezea kama aliepoteza akili.
Baadhi ya wabunge wa CCM wenye msimamo wa kura ya siri wamesema haburuzwi tena mtu ,siku za kutishana zimepitwa na wakati watamwaga razi hapohapo kwenye kura za wazi na liwalo na liwe na WaTanzania watajua na kusikia kuwa hakuogopwa Mwenyekiti wala mwenye meza wa CCM na wala hakuogopwa Katibu Kata wala Katibu Mtungi wa CCM ,wataelemea kule ambako WaTanganyika na WaZanzibari wanamatumaini napo na ndio maamuzi ya wananchi walio wengi.
Mambo ya kuogopana sasa hayana tena nafasi,wanalazimisha iwepo kura ya wazi ili waorodheshe majina yetu kuwa hatukuwaunga mkono na kwa vile wao ndio wenye Chama watatushughulikia ,safari hii tutashughulikiana na tutawaachia Chama Chao ,maana kuwepo kwao kunatokana na sisi kuwa pamoja nao ila tukianza kuwaachia kwa kuwa wao ndio wapo juu ya sheria basi wajue sio kuanguka bali watavunjika kabla ya kuanguka ,alisikika mbunge mmoja akielezea kama aliepoteza akili.