Liwalo na liwe

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
I hate you all. I dont care. Siishi maisha yangu kwa ajili ya yoyote. Nilikuja duniani kivyangu na nitaondoka kivyangu.

I don't care about anything sasa hivi simuamini yoyote hata mtoto mdogo.

Wasaliti, wadhulumati na waonevu wote kufeni wote na msifufuke hata mkifa katika Yesu.

Nyau nyie
 
One man down. Kitu kizito tayari kwenye utosi wa cheusi Mangala.
By the way, ustupangie Cha kufanya hapa wakati hutulipii bando.
 
Acha vituko basi
 
Mkuu mpaka umetoa avatar ya handsome wa kijiji! kweli wahuni wamekupiga parefu.

unataka kusema ile bajeti ya kujenga gorofa yote wamepita nayo?

rudi hom.... au basiii
 
Ili kuepukana na adha hizo na kuwa kero Kwa jamii Bora ujinyonge tuu tufunge ukurasa 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…