tembelea hawa "zawadiz" ambao pia hujiita "fahim ayaz" wapo masaki/msasani na posta hawana bidhaa feki wachek instagramNdugu watanashati,
Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000).
Tafadhali, ninaomba kujuzwa.
Nimechoka marashi fake!
Ni kweli nanunua kwaotembelea hawa "zawadiz" ambao pia hujiita "fahim ayaz" wapo masaki na posta hawana bidhaa feki wachek instagram
Takataka hizo hakuna perfume hapo.Namanga - Maduka ya wapemba
Umetokea pori gani ?Takataka hizo hakuna perfume hapo.