cheti cha kuzaliwa sio affidavit,cheti cha form 4 halali sio result sleep,cheti cha kifo cha mzazi kama amefariki mmoja au wote,barua ya udhamini\(kama ulikuwa unadhaminiwa elimu yako na barua ya kusitisha udhamini kama ulipewa na shirika labda ulilokuwa unadhaminiwa)jamani naombeni. Ivi nivyeti aina gani nivyamsingi kuambatanisha wakati unatuma maombi bodi ya mikopo.
cheti cha kuzaliwa sio affidavit,cheti cha form 4 halali sio result sleep,cheti cha kifo cha mzazi kama amefariki mmoja au wote,barua ya udhamini\(kama ulikuwa unadhaminiwa elimu yako na barua ya kusitisha udhamini kama ulipewa na shirika labda ulilokuwa unadhaminiwa)
cheti cha daktari cha kuthibitisha ulemavu wa mzazi au mwombaji wa mkopo.ivi viandae vinavyokuhusu.pia pitia website yao wameandika yote... Higher Education Students' Loans Board
siunajua uandishi wa haraka huku unafanya mambo mengine...pia vitambulisho vya mzazi/mdhamini/mleziMaelezi mazuri sana, yatasaidia na wengine wengi, nikiwemo mimi ninayefuatilia kwa ajili ya Dogo. Hata hivyo hapo kwenye "result sleep" nadhani ni "Results Slip", au vipi Mdau!
mkuu cheti cha form 6 wala result ya form 6 haiitajiki,maana bodi hawapangi mikopo kwa matokeo ya form 6 hata kidogo.wanachotaka ni namba yako ya form 4 tu na matokeo ya form 4.na wanachotaka pia ni je umepangiwa kujiunga na chuo.?cheti cha kuzaliwa cha kwako, vyeti vya kuzaliwa wazazi (kama wamefariki unatakiwa kuambatanisha vya vifo). Cheti cha form four/ equivalent, cheti cha form six/result slip kama cheti hakijatoka bado,kama umepita diploma ambatanisha.
mkuu cheti cha form 6 wala result ya form 6 haiitajiki,maana bodi hawapangi mikopo kwa matokeo ya form 6 hata kidogo.wanachotaka ni namba yako ya form 4 tu na matokeo ya form 4.na wanachotaka pia ni je umepangiwa kujiunga na chuo.?cheti cha kuzaliwa cha kwako, vyeti vya kuzaliwa wazazi (kama wamefariki unatakiwa kuambatanisha vya vifo). Cheti cha form four/ equivalent, cheti cha form six/result slip kama cheti hakijatoka bado,kama umepita diploma ambatanisha.
mkuu cheti cha form 6 wala result ya form 6 haiitajiki,maana bodi hawapangi mikopo kwa matokeo ya form 6 hata kidogo.wanachotaka ni namba yako ya form 4 tu na matokeo ya form 4.na wanachotaka pia ni je umepangiwa kujiunga na chuo.?
Mmmh cdhani. Utaratibu huu umeanza lini? Labda kama umeanza hivi karibuni lkn mimi nimeomba mkopo 2010 kilikuwa kinahtajika. Nakumbuka vema kabisa mikikimikiki niliyoipata ktk kuipata hyo result slip ya form six. Ninachojua tcu ndo hawanaga habari na form six ile HESLB cheti cha 4m 6 kinahusika sana tu. Labda uniambie wamebadili utaratibu baada ya 2010
mkuu cheti cha form 6 wala result ya form 6 haiitajiki,maana bodi hawapangi mikopo kwa matokeo ya form 6 hata kidogo.wanachotaka ni namba yako ya form 4 tu na matokeo ya form 4.na wanachotaka pia ni je umepangiwa kujiunga na chuo.?
Umechanganya madesa Mkuu HESLB huwa hawana shida na cheti cha form 6 wanataka cha form 4.
aha utaratibu upo hivi.bodi ya mikopo kazi yake ni kupanga nani anasifa ya kupata mkopo na kiasi gani.wakishafanya hivyo basi majina ya watu waliopangiwa vyuo yanatumwa bodi ya mikopo ii kucomferm,na ndio wanaachia majinaItakuaje kwa form six wa mwaka huu ambao ndio watakua wanafanya mtihani wakati hawajapangiwa kujiunga na chuo?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Cheti cha kuzaliwa cha kwako, vyeti vya kuzaliwa wazazi (kama wamefariki unatakiwa kuambatanisha vya vifo). Cheti cha form four/ equivalent, cheti cha form six/result slip kama cheti hakijatoka bado,kama umepita diploma ambatanisha.