victor mbuya
Member
- Aug 5, 2016
- 78
- 32
Hilo shamba lina zao lolote?
Mmmh...kwa ufahamu wangu,kwa mfano crdb bank wanaipokea hiyo dhamana endapo imepandwa miti kama mitiki.. hapo incase ikitokea shida wanauza shamba na miti pesa inapatikana ya uhakika kulingana na kiasi alichokopa ofcos....
Otherwise,inakuwa ngumu kumkadiria atapata tshs ngapi...kuna vitu vingi vinatizamwa ili mtu kuweza kupewa mkopo. Kwanini jamaa asitembelee mabenki kufanya research atapata details as kutosha halafu atajua atakopa wapi....[HASHTAG]#ushauri[/HASHTAG] wangu#
kupata mkopo bank hawaangalii tuu hyo dhamana kuna vitu vingine wanavyo angalia kama vyanzo vya mapato kwajili ya kulipa mkopo aina ya biashara au lengo la mkopo pamoja na monthly cash flow ndo waweze kujua watakukopesha mkopo kiasi ganiMmmh...kwa ufahamu wangu,kwa mfano crdb bank wanaipokea hiyo dhamana endapo imepandwa miti kama mitiki.. hapo incase ikitokea shida wanauza shamba na miti pesa inapatikana ya uhakika kulingana na kiasi alichokopa ofcos....
Otherwise,inakuwa ngumu kumkadiria atapata tshs ngapi...kuna vitu vingi vinatizamwa ili mtu kuweza kupewa mkopo. Kwanini jamaa asitembelee mabenki kufanya research atapata details as kutosha halafu atajua atakopa wapi....[HASHTAG]#ushauri[/HASHTAG] wangu#