Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waangalizi wa uchaguzi,wa ndani na nje wameridhika kwa kiwango cha juu na zoezi la kupiga kura,kuhesabu kura na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi,tatizo lenu mliingia ktk uchaguzi bila kuwaza kuna kushinda na kushindwa!Africa nchi zetu hizi bado sana,haki ya kikatiba inaruhusu Raila kukata rufaa,ushahidi upo wa wa ukiukwaji mkubwa wa mwenendo wa uchaguzi,kama si kujipendekeza kibwegebwege nini hii hapa wanaleta hawa wanaoitwa jukwaa la katiba? Waliovuruga uchaguzi wana ajenda zao za siri ya kufikia kufanya vitendo hivyo visivyofaa,hawatakiwi kupewa fursa basi ya kuongoza nchi,bila ridhaa halali ya wananchi wote,na kwa demokrasia YA KENYA NI HATARI ZAIDI KWA RAILA KUTOKATA RUFAA,acheni sheria ichukue mkondo wake.
waangalizi wa uchaguzi,wa ndani na nje wameridhika kwa kiwango cha juu na zoezi la kupiga kura,kuhesabu kura na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi,tatizo lenu mliingia ktk uchaguzi bila kuwaza kuna kushinda na kushindwa!
waangalizi wa uchaguzi,wa ndani na nje wameridhika kwa kiwango cha juu na zoezi la kupiga kura,kuhesabu kura na utangazaji wa matokeo ya uchaguzi,tatizo lenu mliingia ktk uchaguzi bila kuwaza kuna kushinda na kushindwa!
Kelele zote za nini wewe, ni haki yake ya kikatiba sasa unalalamika nini?? mahakama inafanya maamuzi ndani ya siku 14 wasiwasi wako ninini?
there are people that do not like this endless madness and cord troops are in for a rude shock. they are refusing to read the what the kenyans said on march 4. And why should jubilee lawyers trouble themselves or have sleepless nights because cord troops are trying to construct 'sensible' evidence inorder to file their petition.Kabaridi....never heard of that lobby group btw.
We have nothing to lose, infact am eager to see what they CORD will table, particularly the show Amos Wako might pull, Oraro, Mutula and the few well spoken characters in law.