Local content: Erasto Nyoni, better than Fraga

Local content: Erasto Nyoni, better than Fraga

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Wakati umefika sasa tuwathamini wachezaji wetu wa ndani kama Erasto Nyoni ambaye ni mchezaji wa viwango ambaye amekutana na changamoto kubwa ya kupata nafasi katika club yetu ya Simba ambayo imejaa vipaji laukama taifa linamtegemea sana kwenye safu ya ulinzi. Mara nyingi watu humuita kiraka kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi mbali mbali.

Kumekuwa na tetesi kwamba Simba wanatafuta withholding midfielder( beki mkabaji) kum-replace Fraga ambaye amepata majeruhi ya muda mrefu na kwamba upo uwezekano wa Simba kuuvunja mkataba wake. Kwa maoni yangu kutokana na uwezo alionao Erasto Nyoni na ni mzuri kuliko Fraga (my opinion), Simba wangeanza kumtumia Nyoni kama withholding midfielder ambaye ana height, skills na physique nzuri kuliko Fraga ambaye ataimarisha ulinzi na kupeleka mashambulizi mbele.

Mechi ya juzi na Costal Union alidhihirisha hilo na ukuta ulikuwa imara sana. Hivyo akisimama Mkude na Nyoni kama withholding midfielders kamwe hatuto m-miss Fraga. Tunamtakia matibabu mema anyway, huko kwao Brazil.
 
Kila mchezaji ana uzuri wake... Mechi kama ya coastal utamuona nyoni vizuri tu kwa kuwa coastal wanacheza mpira kama wa simba mpira laini shida inakuja ukicheza na watu wababe wanaokuja mwilini ndio utamuhitaji Fraga.
Naunga mkono ...fraga mechi za battle kwa batooo naona alikuwa anawasaidiaa msimbazi
 
Kumbuka kinachomfanya Nyoni akae nje ni umri umemtupa mkono si uwezo....Maoni yangu ni Pengo la Fraga lizibwe na Nyoni aendelee kubaki kama kiraka tu.
 
Umeandika vizuri sana Mkuu.

Nyoni ni mchezaji mzuri sana. Amefundishwa mpira na amefundishika shida kubwa ya Nyoni Ni VERY SOFT.
kwa position ya beki wa kati ama kiungo mkabaji lazima uwe na undava na ubabe kidogo.

Nyoni anafaa sana lakini Flaga angetusaidia sana PALE KATIKATI YA DIMBA HASA MECHI NGUMU NA MASHINDANO YA KIMATAIFA.

FLAGA NI MZURI KULIKO NYONI HASA KWENYE MECHI NGUMU.
 
Wakati umefika sasa tuwathamini wachezaji wetu wa ndani kama Erasto Nyoni ambaye ni mchezaji wa viwango ambaye amekutana na changamoto kubwa ya kupata nafasi katika club yetu ya Simba ambayo imejaa vipaji laukama taifa linamtegemea sana kwenye safu ya ulinzi. Mara nyingi watu humuita kiraka kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi mbali mbali.

Kumekuwa na tetesi kwamba Simba wanatafuta withholding midfielder( beki mkabaji) kum-replace Fraga ambaye amepata majeruhi ya muda mrefu na kwamba upo uwezekano wa Simba kuuvunja mkataba wake. Kwa maoni yangu kutokana na uwezo alionao Erasto Nyoni na ni mzuri kuliko Fraga (my opinion), Simba wangeanza kumtumia Nyoni kama withholding midfielder ambaye ana height, skills na physique nzuri kuliko Fraga ambaye ataimarisha ulinzi na kupeleka mashambulizi mbele.

Mechi ya juzi na Costal Union alidhihirisha hilo na ukuta ulikuwa imara sana. Hivyo akisimama Mkude na Nyoni kama withholding midfielders kamwe hatuto m-miss Fraga. Tunamtakia matibabu mema anyway, huko kwao Brazil.
unampima nyoni kwa mechi na coast?
 
Sijui kwa nini uongozi Simba hawakuliona hili mapema....Nyoni pia ni mzuri akicheza kama kiungo mkabaji kuliko Mkude....ila lazima asajiriwe mkabaji mwingine mwenye level ya kimataifa....licha ya umri....Nyoni pia ana pancha.....akijitonesha tu....miezi sita nje ya uwanja.
 
Huyo Fraga hamna kitu alikuwa muuza matikiti Brazil, Nyoni kaishakuwa kikongwe
 
Wakati umefika sasa tuwathamini wachezaji wetu wa ndani kama Erasto Nyoni ambaye ni mchezaji wa viwango ambaye amekutana na changamoto kubwa ya kupata nafasi katika club yetu ya Simba ambayo imejaa vipaji laukama taifa linamtegemea sana kwenye safu ya ulinzi. Mara nyingi watu humuita kiraka kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi mbali mbali.

Kumekuwa na tetesi kwamba Simba wanatafuta withholding midfielder( beki mkabaji) kum-replace Fraga ambaye amepata majeruhi ya muda mrefu na kwamba upo uwezekano wa Simba kuuvunja mkataba wake. Kwa maoni yangu kutokana na uwezo alionao Erasto Nyoni na ni mzuri kuliko Fraga (my opinion), Simba wangeanza kumtumia Nyoni kama withholding midfielder ambaye ana height, skills na physique nzuri kuliko Fraga ambaye ataimarisha ulinzi na kupeleka mashambulizi mbele.

Mechi ya juzi na Costal Union alidhihirisha hilo na ukuta ulikuwa imara sana. Hivyo akisimama Mkude na Nyoni kama withholding midfielders kamwe hatuto m-miss Fraga. Tunamtakia matibabu mema anyway, huko kwao Brazil.
Je ata heza pekee yake?,lazima awepo mchwzqji mwingine maana anachoka na kuna kuumia au kuumwa
 
Wakati umefika sasa tuwathamini wachezaji wetu wa ndani kama Erasto Nyoni ambaye ni mchezaji wa viwango ambaye amekutana na changamoto kubwa ya kupata nafasi katika club yetu ya Simba ambayo imejaa vipaji laukama taifa linamtegemea sana kwenye safu ya ulinzi. Mara nyingi watu humuita kiraka kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi mbali mbali.

Kumekuwa na tetesi kwamba Simba wanatafuta withholding midfielder( beki mkabaji) kum-replace Fraga ambaye amepata majeruhi ya muda mrefu na kwamba upo uwezekano wa Simba kuuvunja mkataba wake. Kwa maoni yangu kutokana na uwezo alionao Erasto Nyoni na ni mzuri kuliko Fraga (my opinion), Simba wangeanza kumtumia Nyoni kama withholding midfielder ambaye ana height, skills na physique nzuri kuliko Fraga ambaye ataimarisha ulinzi na kupeleka mashambulizi mbele.

Mechi ya juzi na Costal Union alidhihirisha hilo na ukuta ulikuwa imara sana. Hivyo akisimama Mkude na Nyoni kama withholding midfielders kamwe hatuto m-miss Fraga. Tunamtakia matibabu mema anyway, huko kwao Brazil.
Nyoni kilaka katika game za kudifance anafaa kusimama na mkude kwa sababu atawasaidia hata mabeki wa Kati wawa pamoja na onyango inamaana nyuma kutatulia na ndiyo maana game ya Nigeria simba walifanikiwa kukaba na kushambulia kwa kushtukiza ambayo na mashambulizi yalikuwa makali...
 
Back
Top Bottom