Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
yai na parachichi au maharage achemshe yale maji yake pia unaweza kuchemsha mchele ukichemka nao maji yake yale pia majani ya mpera nayo kibokomwambie atumie yai na parachichi iko poa kichizi... anaweza changanya na kahawa asilia na asali pia hii nimeambiwa leo
uwiii hii ya mchele kiboko lol.... ndio naisikia leoyai na parachichi au maharage achemshe yale maji yake pia unaweza kuchemsha mchele ukichemka nao maji yake yale pia majani ya mpera nayo kiboko
Mi nywele zangu ni nying na nzito .....tatizo ni kavu sanaaa .Ukihitaji nywele ziwe nzito tumia parachichi na yai aisee hutajutia....
Pia waweza tumia tangawizi ukachanganya na mafuta ya nazi au olive oile......
Pia kuna majani ya mpera chemsha then paka kichwani....
Asali na yai.....
Kwa nywele kavu hapo sijajua ngoja niulize wadauMi nywele zangu ni nying na nzito .....tatizo ni kavu sanaaa .
Je, steaming itanifaaa??