#COVID19 'Lockdown’ za Covid sio suluhu-Kituo cha udhibiti wa magonjwa Afrika(CDC)

#COVID19 'Lockdown’ za Covid sio suluhu-Kituo cha udhibiti wa magonjwa Afrika(CDC)

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191

Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukizi

Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukiziImage caption: Kirusi kipya cha Omicron kilisababisha ongezeko la maambukizi

Kituo cha uchibiti na kuzuwia magonjwa cha Afrika (Africa CDC), kimesema sheria kali ya kukaa nyumbani au ‘lockdown’ sio tena njia bora ya kukabiliana na mawimbi ya virusi vya corona

Serikali sasa zinahimizwa kutumia hatua za afya ya umma na kijamii kupunguza viwango vya maambukizo ya virusi. Msisitizo wa chanjo kama hatua ya kukabiliana na virusi pia ulitolewa katika taarifa ya hivi punde wa CDC Afrika.

Nchi kadhaa zilikabiliwa na wimbi jipya la virusi kuelekea mwisho wa mwaka jana. Afrika Kusini ilihusisha kuongezeka kwa idadi yake ya maambukizi na kirusi kipya cha Omicron.

BBC Swahili
Mataifa kadhaa ya kusini mwa Afrika yaliwekewa marufuku ya usafiri kwa sababu ya kirusi hicho.
 
1.Mkaratusi+kashwagala+maganda ya limau, chemsha na jifukize kila baada ya siku moja

2.chemsha artemisia au majani/mizizi ya mti wowote mchungu uliozoea na kunywa angalau mara 2 kwa wiki.

Chakula chochote kisikose tangawizi, karafuu, mdarasini, swaumu, iliki, na spice yoyote unayoijua. Mengine we kama una majukumu yanayokulazimisha kwenda nchi za nje lazima uchanje japo hata ukichanja utahitaji 1&2.
 
Ni vile timu mwendazake wako kwenye msiba mwingine.

Wangekuwa wamepiga kambi hapa, fulu kukenua.
 
Back
Top Bottom