Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 632
Wacha wapigwe shotREA Phase 3B naona imeanza
Na hii mvua awamu ya 3B iko kasi sana, unaungwa na kuwekwa Tariff 1 chapWacha wapigwe shot
πππna hii mvua awamu ya 3B iko kasi sana, unaungwa na kuwekwa Tariff 1 chap
π π π π π π wazinzi mlisubiri mvua kwa hamuNenda Rungwe Sinza Africasana. Bed and breakfast. 60,000 tu full kipupwe.. patamu balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakua ngoma drooDar Lodge zipo kila mahali na zote zimejificha ni swala la we kupanda gari au boda shuka popote itafute unaipata halafu hiyo budget kubwa sana za 30000 ziko poa ila jua tu dar hakimbiwi mtu hapo unapoenda kujificha utamkuta wife wako nae kajificha
Ninyi watu wa Dar ni wahuni nyieSiku hizi ni boda boda tu anakupeleka chimbo lolote utaposhuka.Hata kama una gari yako private unampa buku mbili ama buku anakuongoza kama askari wa msafara.
πππππ π π π π π wazinzi mlisubiri mvua kwa hamu
πππREA Phase 3B naona imeanza
Mkuu huna chimboAisee
Mkuu kama upo Lumumba kule basi haijajificha hiyoIdeal hotel Dar...karibu na Lumumba Dar
40000 ....
Siku hizi ni boda boda tu anakupeleka chimbo lolote utaposhuka.Hata kama una gari yako private unampa buku mbili ama buku anakuongoza kama askari wa msafara.
Mvua siku nzima haikatiki sio mvua kidogo mkuu