Kwa mzoefu anayeifahamu hii biasharaInaweza kukulipa mtu ikipangishwa kwa laki 5 kwa mwez
We kama meme aisee [emoji16][emoji16][emoji23][emoji848]dah, nikionaga vyumba vya lodge mbo o inadinda mda wote
Mkuu jamaa hajibu anazinguaKimara sehem gan mkuu
Bado ipo mkuu hii kitu au ulishapata mtu?Salaam,
Nyumba inapatikana Kimara (corner)
Meter 300 kutoka Morogoro road
Inatumika kama nyumba ya kulala wageni.
Ina vyumba 10 (vyote ni master)
Iko ndani ya fensi
Huduma zote muhimu zipo (barabara, maji n.k)
Sababu za kupangishwa ni kukosekana kwa usimamiaji.
Rent per month: tzs 1m
Call/SMS 0756 832833
View attachment 1151000View attachment 1151001View attachment 1151002View attachment 1151003View attachment 1151005View attachment 1151008