Nilikaa hizo hostel miaka ya 2000 ukipata boom mizigo unaivutia hapo unawapumzisha washikaji na exileDuh!
Ushawahi kwenda kula mzigo nini hapo?
Manake hiyo loji ni maarufu kwa hilo tu.
Nilikaa hizo hostel miaka ya 2000 ukipata boom mizigo unaivutia hapo unawapumzisha washikaji na exile
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii siyo ya pale Sinza karibu na Mugabe Primary School na City Styles?
Ha ha misosi unaagiza kwa order tu wanakupikia,Hivi bado ni Tsh 20000 au imepanda?
Sent using Jamii Forums mobile app
TRA mbali sana na hapo mkuu,labda ungesema karibu na Bodi ya Mikopo,Kanisa la EAGT la Mchungaji Ngoma,Bar za Sunguchini,Igongwe zaman au Kwa Afande,au kwa wanaofahamu maskani ya enzi hizo ya Daz Nundaz,nyumbani kwa Kipozi (Unique sisters)Duuu...
Hii Ipo maneno ya mwenge TRA, yani katikati ya sinza na mwenge... hii lodge inasifika sana kuhifadhi wake za watu na wauza nyuchi...
Cc: mahondaw
vile viraka vya barabara waliyokuwa wanaviziba pale ipo ipo walishamaliza?Sheria ingetizama hili swala mi jana nmechelewa kutoka shamba ifakara nikaunga unga vi NOAH hadi nkafika mikumi.Pale mikumi nkapata roli hadi moro nimeingia saa 8 usiku Ikabid nchukue gest pale mitaa ya ipo ipo bar lakn muhudum kanichaj ile ile pesa.Na asubuhi nkagongewa mda umeisha ikabid niamke tu bado nna usingizi na uchovu nkakogoa nkaenda zangu msamvu stendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mkuuvile viraka vya barabara waliyokuwa wanaviziba pale ipo ipo walishamaliza?
wana nini lkn,yani vile viraka zaidi ya mwezi sasa,ukipanda haic inazunguka balaa mpk ufike kwny mataa zaidi ya dk 10 na ni sehemu fupi sn
wana nini lkn,yani vile viraka zaidi ya mwezi sasa,ukipanda haic inazunguka balaa mpk ufike kwny mataa zaidi ya dk 10 na ni sehemu fupi sn
duuh!