House4Sale LODGE MPYA VYUMBA 12 INAUZWA BEI CHEE

House4Sale LODGE MPYA VYUMBA 12 INAUZWA BEI CHEE

Rajabu Msechu

Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
35
Reaction score
18
Bikuhabari memba wenzangu wa JF.

Lodge mpya bado haijaanza kufanya kazi, ina jumla ya vyumba 12, vyumba 10 self, viwili vilivyobakia ni store na mapokezi.

IPO Mbagala Mzinga, bei inaanzia milioni 60 mazungumzo yapo.

Imekwishwa fanyiwa wiring ya umeme na mabomba, umbali wa mita 50 kutoka barabarani.

Hati ya makazi ipo

Wasiliana : 0717 36 05 05.

Hali yangu kwa ujumla kiuchumi sio nzuri.

Wote mnakaribishwa

1470485194832.jpg

1470485212503.jpg

1470485227913.jpg
1470485252969.jpg
 

Attachments

  • 1470485117103.jpg
    1470485117103.jpg
    176.1 KB · Views: 64
Hiyo inafaa kwa makazi,ama kupangisha,ila kwa lodge haikubali.
Anyway,bei nzuri sana,
 
Back
Top Bottom