malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Hujalala cocaWajuvi wa nyumba za wageni mnaitwa hukuu.
Badooo, usingizi umekata, miguu iko kwa beseni.Hujalala coca
Hiyo inaanzia 40000 nami nataka ya Bei chini maana nakaa almost siku 16Sudani hoteli pale devis coner kama unaenda tandika sokoni...Inaitwa Sudan hoteli
Mm nipo ofisini kesho nina kimeoBadooo, usingizi umekata, miguu iko kwa beseni.
Aaaah sasa unataka eneo lipi sogea huku chini kwa azizi ali mtoniHiyo inaanzia 40000 nami nataka ya Bei chini maana nakaa almost siku 16
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahakamani? PoleeeehMm nipo ofisini kesho nina kimeo
Acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahakamani? Poleeeeh
Aseeeh poleeeAcha tu
Duh jamaa leo kaamua kufanya kazi yake🤣🤣Badooo, usingizi umekata, miguu iko kwa beseni.
Mkuu...Wakuu naulizia lodge nzur kwa Bei ya shilingi kuanzia 15000-30000 maeneo ya Tandika, Sudani, Hospital, Pire, Temeke Mwisho, Mtongani, Kwa Azizi Ally anaefahamu nzuri anambie
Dar temeke kilwa road na tandikaMkuu...
Hayo maeneo yapo mkoa gani ili tukusaidie...🤔
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa gani tenaaa.Duh jamaa leo kaamua kufanya kazi yake[emoji1787][emoji1787]
Giraffe kwa sasa ndo inaitwa Sudani hotel, ambayo mtoa mada kaikataaKuna giraffe apo Sudan tena ghorofa
Mamilo Inn-40,000/=Wakuu naulizia lodge nzur kwa Bei ya shilingi kuanzia 15000-30000 maeneo ya Tandika, Sudani, Hospital, Pire, Temeke Mwisho, Mtongani, Kwa Azizi Ally anaefahamu nzuri anambie
Sudani hotel inaanzia 40000-50000 imagine nakaa siku 16 sighariGiraffe kwa sasa ndo inaitwa Sudani hotel, ambayo mtoa mada kaikataa