Lodge za 5000/'7000 per day Dar es salaam Pls

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hi guys hope mko poa woteeeee
rejea kichwa cha habari hapo juuu tunaomba mwenye kujua hili atupe direction pls '
kuna kazi dar tunawaleta mabinti kadhaa na makakaa wengi kidogo
nahitaji .............maelekezo yenu ahsanteni isiwe mbali sana na jiji letu tukufu
wale wachumi tumeelewana
rgds
Pdidy
 
Lete codey kwanza
 
Guest yeyote ukienda Ku negotiate idadi ya watu na siku unazotaka wakae unaweza pata ...
Kumbuka sio gesti zote zinajaza vyumba kila siku
 
Umeshafukuzwa Mbezi Beach? Pole sana, tulikuonya muda mrefu kwamba maisha ya kulelewa hayakufai, hukusikia.
 
Umeshafukuzwa Mbezi Beach? Pole sana, tulikuonya muda mrefu kwamba maisha ya kulelewa hayakufai, hukusikia.
nilikukaribisha ukakimbiaa ...huku watakufukuza wewe mpangaji....nimeongeza vyumba vya kupanga karibu mkuu sina ubaya na wewe kukaa mbezi beach
kwikwikwiwkwiw..........
nakimbiaje kwangu???soma vizuri n channel ya kikundi wanaleta watu dar tunahitaji sehemu ya bei nzuri kuwalaza....(changamkia fursa naweza kukutoa udalali mkuu uongeze dona ya mwezi si haba)
 
Guest yeyote ukienda Ku negotiate idadi ya watu na siku unazotaka wakae unaweza pata ...
Kumbuka sio gesti zote zinajaza vyumba kila siku
thx mpwa kesho naanza kutembelea sinza n kmr naamini sitokosaa inshallah
 
Manzese opposite na Morogoro Road zipo nyingi sana.
 
Jet lumo shuka relini, ulizia Mk guest House utapata self kwa buku tano ule maisha kwa siku zote utazokaa dsm
 
ukiacha PR juu kushoto kuna chimbo elfu saba tu.. alafu road kule buku tano tu hayo hayo maeneo na kitambaa
 
Guest za hivyo zipo Manzese kwa mfuga mbwa huko [emoji23][emoji23]

Ukilala humo asubuhi unaweza ukaamka uko uchi wa mnyama [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Naona Unataka Kuhamisha Kunguni Na Magonjwa Ya Ngozi Upeleke Nyumbani Kwako.

Pia Usalama Wa Lodge Kama Hizo Ni Mdogo Sana Kwako Na Vitu Vyako.

Jitahidi Unatafuta Lodge Nzuri Kuepuka Magonjwa Ya Ngozi Na Kunguni Pia Usalama Wako Na Mali Zako Ni Muhimu Zaidi.

"Cheap can be expensive"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…