Lodge za 5000/'7000 per day Dar es salaam Pls

Taja lodge nzuri na maeneo zilipo ikiwezekana hata na bei zake
 
Kwamba guest ya 7000 lazma kunguni uongo mtupu nenda mbagal rangi tatu ulizia white guest house hapo ef 7 kasoro net chumba safi na ni self kuna feni full upepo safi ukitaka utalala ghorofani yupo mother mmoja hiv kila mwish wa mwez naingia dar ndio chimbo langu hilo
 
Ni sahihi ulichoandika....je ulimuelewa? Pia tunaangalia uchumi jamani 16×5000=80000 per day kulala tu × 5
Bado kula mchana na jioni (2000×16)2=64000 per day×5
Maji 16000/ per day ×5(bado movements za to and from)×5...huoni kwamba bado sio cheap unavyodhani?

NB: ×5 ni siku watakazo kaa
Ni mzigo wa misumari kwa maisha ya dar
 
Ngedere mwitu waingia mjini ngedere hawajifichi
 
Sinza kijiweni ipo 15k per day waki kaa wawili au watatu sio mbaya kila room..
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…