chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Vipaji vipo hapa Tanzania ila kwa sababu ya ubinafsi wa brand za kipuuzi ndio tatizo kama Simba na Yanga.
Huyu dogo leo naangalia tv nikaona niangalie chaneli za mziki namsikia huyo dogo yani unaweza kusema sio wa bongo na viingirishi vyetu vya zezeze is ukrain oil.
Dogo unajua mziki sana na steji yako inaonesha ukikomaa kiingereza utawashinda.
Huyu dogo leo naangalia tv nikaona niangalie chaneli za mziki namsikia huyo dogo yani unaweza kusema sio wa bongo na viingirishi vyetu vya zezeze is ukrain oil.
Dogo unajua mziki sana na steji yako inaonesha ukikomaa kiingereza utawashinda.