Powa kamanda sio tu logic inawezekana nimekosea kujieleza. Teh Teh teh da nyie wanasheria mna mambomnachambua neno kwa neno lakini nadhani umepata mantiki nzima ya ya nn napenda kuelimishwa . Hilo neno logic lisikubane
Michango yako ya kisheria naikubali
Muwaha said:
kumpa uhuru zaidi mtuhumiwa au victim, kupunguza hofu na panic