Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Imezoeleka kuwa kama mtu katoka shamba kuja town na akaanza kushangaa shangaa jiji huitwa mshamba...Vipi kuhusu wa mjini akienda kijijini na kuanza kushangaa mashamba ya mpunga, baskeli za mbao n.k
ATAITWA NANI??
ATAITWA NANI??