Hueleweki! au 'unaishi jamaica'?Bwana matusi, bwana lugha ya kuudhi, mzee wa machafuko. Hahaha mzee wa miga. Halafu pembeni yuko Ahmada. Jamani hiyo team hata shetani haitaki. Hahaha
Wenyewe washaelewa, rudi shule ukajifunze zaidi.Hueleweki! au 'unaishi jamaica'?