Ni kweli ila marehemu alikuwa anatoa mpunga mkubwa zaidi, maana hakutaka skendoYaan hd huruma.
Sema khs watoto watakamata mahela ya mirathi labda hlf na kwao baba yao ndio hivyo wa kishua wanaweza kuwa wanatoa support kubwa maana ht bibi yao alikuwa anashukru angalau kuachiwa wajukuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
Mwali wangu yamemmkuta mazito Jana [emoji28]. Hivi sijui sura yake ataiweka wapi maskini , hadi shoga zake akina mama dangote wamemkana amewatia aibu , Tatizo mwali na wewe umezidi mdomo mno , Kwan unadhani watu hawajui uchafu wa mastaa wengi hapa mjini ? Wenzio wanajiheshimu ndio maana na wao mambo yao yanastiliwa, Sasa ndugu yangu na Mimi kujifanya mdomo juu juu kama side mirror ya Suzuki umeenda kumchokonoa FBI wa umbea na yamekukuta, najua unajifanya you don't care Ila deep down umefedheheka sana , maana hata wale mastaa uliokua unakaa nao karibu watakukwepa kuogopa scandal .
Dah eti kabisa unasifia dyudyu, ndio wanazengo tunajua vizur habar zako, Ila siku zote unaambiwa bora tetesi kuliko mtu aje na ushahdi, yan duh umeaibika kwa kweli hata ujifanye you don't care.
Kwenye voice ya hamisa ulivyokua unashupalia Leo yamekukuta ama kweli Mungu sio athman, kama namuona hamisa anavyo sip champagne akikucheka, maana domo alikuonjeshq tu mwanamwali na wewe ukajikuta zari , teh the loh
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂😂😂😂😂warumi huu ni mtego usikubali
Toka mwaka jana unamuambia leowarumi huu ni mtego usikubali
Ni pm nikupe mambo ya Shane diesel[emoji23][emoji23][emoji23]
Heeeeeh makubwa lol, mweeeeeeh
Nn weeWe mtoto
Nn wee
Hii picha itafutwa muda si mrefu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1517499
Huyu Kaka ana Paja zuriiiii na mguu wa Bia. Wallah angekuwa mwanamke angeolewa Kwa uzuri wa Mapaja yake. Duuuuh Suruali zinaficha mengi.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 1517499
PMamboh
hivi wadau mmegundua kitu kwamba huyu warumi na Juma lokole ni mtu mmoja,,
nimefatilia uandishi wa juma lokole nikaingia na huku jamii kuangalia anachoandika warumi nimegundua ni mtu mmoja[emoji23][emoji23]
so tunafunga mjadara warumi ni juma lokole hawezi kuruka hapa[emoji119]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
ni yeye na ni chakula huyu ndo maana anapenda kuleta mada za watu wanaoliwaNa km si yeye bas wote n chakula
Ushamtamani mwanamme mwenzako man kwani ww ni mende?Huyu Kaka ana Paja zuriiiii na mguu wa Bia. Wallah angekuwa mwanamke angeolewa Kwa uzuri wa Mapaja yake. Duuuuh Suruali zinaficha mengi.