Lokole yamekukuta

Daaah
 
Kuna nini huko mjini, mbona naskia kuna kinywaji kipya kimeingia et kinaitwa lokole
 
hivi wadau mmegundua kitu kwamba huyu warumi na Juma lokole ni mtu mmoja,,

nimefatilia uandishi wa juma lokole nikaingia na huku jamii kuangalia anachoandika warumi nimegundua ni mtu mmoja[emoji23][emoji23]

so tunafunga mjadara warumi ni juma lokole hawezi kuruka hapa[emoji119]

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 

Na km si yeye bas wote n chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…