NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Dada wa watu masikini aliletaga taarifa tumuombeage aolewe, mimi nikamuomebaga (hope na wengine), akapataga mume na ukawa mwanzo wa kututupa kabisa ...........kapotea jukwaani
Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo yangekuwa swadakta
Napata hofu ya kuombeaga wengine maana nahisi mkishaolewa mtatupoteaga jukwaani
Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo yangekuwa swadakta
Napata hofu ya kuombeaga wengine maana nahisi mkishaolewa mtatupoteaga jukwaani