lol....kumbe mkishaolewaga ndo mnakuwaga hivyo

lol....kumbe mkishaolewaga ndo mnakuwaga hivyo

NewDawnTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,667
Reaction score
362
Dada wa watu masikini aliletaga taarifa tumuombeage aolewe, mimi nikamuomebaga (hope na wengine), akapataga mume na ukawa mwanzo wa kututupa kabisa ...........kapotea jukwaani

Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo yangekuwa swadakta

Napata hofu ya kuombeaga wengine maana nahisi mkishaolewa mtatupoteaga jukwaani
 
Dada wa watu masikini aliletaga taarifa tumuombeage aolewe, mimi nikamuomebaga (hope na wengine), akapataga mume na ukawa mwanzo wa kututupa kabisa ...........kapotea jukwaani

Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo yangekuwa swadakta

Napata hofu ya kuombeaga wengine maana nahisi mkishaolewa mtatupoteaga jukwaani
Hope maombi yanafanya kazi sana_wakuu naomba mniombee nishike mihela.
 
Mimi pia nahitaji maombi!! Na naahidi kutokuwakimbia!!
 
ndio tulivo............shida zikiisha huwa tunapotea
 
Hicho ni kiswahili au lugha gani? tusaidie kwa kuandika tena mpya
 
Chauro ID yako naifananisha na mcharuko zinafanana kiaina,usijali lakini!
 
Atakuja mwingine tu!Kwani msesahau wimbo wa Masanja,hakuna jipya chini ya jua?
 
Jamani labda bado yuko honeymoon.............. tumuombee arudi salama...🙂
 
Back
Top Bottom