N NYAITOKE New Member Joined Mar 15, 2011 Posts 1 Reaction score 0 Mar 15, 2011 #1 Jamani kwa babu hakuna ajira ?😛anda:
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 54,762 Reaction score 59,204 Mar 15, 2011 #2 kama ipi ambayo wewe unaitaka?
C Common man Member Joined Mar 10, 2011 Posts 15 Reaction score 0 Mar 16, 2011 #3 NYAITOKE said: Jamani kwa babu hakuna ajira ?😛anda: Click to expand... wewe unaposikia huduma za chakula,malazi na maji ni shida kwa maana nyingine hizo ni fursa za ajira. Ukiweza kwenda na kutoa hizo huduma utakuwa umejiajiri:angry:
NYAITOKE said: Jamani kwa babu hakuna ajira ?😛anda: Click to expand... wewe unaposikia huduma za chakula,malazi na maji ni shida kwa maana nyingine hizo ni fursa za ajira. Ukiweza kwenda na kutoa hizo huduma utakuwa umejiajiri:angry:
chairman mao Member Joined Mar 15, 2011 Posts 38 Reaction score 4 Mar 16, 2011 #4 unaweza kwenda kuwa mjasiriamali.
DaMie JF-Expert Member Joined Mar 24, 2010 Posts 684 Reaction score 171 Mar 16, 2011 #5 Mgawa dawa baada ya babu kuweka kwenye kikombe.
Beauty JF-Expert Member Joined Feb 6, 2008 Posts 540 Reaction score 23 Mar 16, 2011 #7 some pipo bana